kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
KIJANA mmoja amejikuta akiburuzwa kituo cha polisi bila kutegemea baada ya kumshika makalio mke wa mtu katika utani waliokuwa wakiendesha kati yao.
Kijana huyo ambaye aliyetambulika kwa jina moja l Jose [24] alikutwa na dhoruba hILO jana huko maeneo ya Kigogo Mburahati majira ya jioni.
Wakati Nifahamishe.com ilipokuwa ikipita maeneo hayo ilikuta umati wa watu ukiwa umemzonga mume wa dada aliyeshikwa makalio kwa kuhamaki na kumpiga mtuhumiwa na kumpa kichapo mkewe kutokana na kumkuta akiendesha utani huo.
Imedaiwa kijana huyo alikuwa akitaniana mara kwa mara na dada aliyefahamika kwa jina la Salama [28] bila ya mume huyo kutambua.
Jana mume wa Salama wakati akirudi nyumbani alimkuta mkewe na mwanaume huyo wakitania kama kawaida yao na ghafla aliona mkewe akishikwa makalioni na mwanaume huyo.
Mume wa Salama alimvamia kijana huyo na kuanza kumpa kichapo cha nguvu na kuwafanya wakazi wa maeneo hayo kuingilia kati kunusuru maisha ya kijana huyo.
Wakazi hao walijaribu kumwambia mume wa Salama kuwa mkewe na kijana huyo walikuwa wakitaniana.
Kijana huyo ambaye aliyetambulika kwa jina moja l Jose [24] alikutwa na dhoruba hILO jana huko maeneo ya Kigogo Mburahati majira ya jioni.
Wakati Nifahamishe.com ilipokuwa ikipita maeneo hayo ilikuta umati wa watu ukiwa umemzonga mume wa dada aliyeshikwa makalio kwa kuhamaki na kumpiga mtuhumiwa na kumpa kichapo mkewe kutokana na kumkuta akiendesha utani huo.
Imedaiwa kijana huyo alikuwa akitaniana mara kwa mara na dada aliyefahamika kwa jina la Salama [28] bila ya mume huyo kutambua.
Jana mume wa Salama wakati akirudi nyumbani alimkuta mkewe na mwanaume huyo wakitania kama kawaida yao na ghafla aliona mkewe akishikwa makalioni na mwanaume huyo.
Mume wa Salama alimvamia kijana huyo na kuanza kumpa kichapo cha nguvu na kuwafanya wakazi wa maeneo hayo kuingilia kati kunusuru maisha ya kijana huyo.
Wakazi hao walijaribu kumwambia mume wa Salama kuwa mkewe na kijana huyo walikuwa wakitaniana.