Discoverer
Member
- Jul 16, 2009
- 58
- 12
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, hospitali ya taifa ya Muhimbili nayo imeingia katika mgao mkubwa wa umeme tofauti na ilivyokuwa awali.
Wodi zilizo athirika zaidi ni sewa haji, kibasila, mwaisela, watoto na majokofu ya kuhifadhia ndugu walio tutangulia ambazo zote hizo hazina jenereta.
Hii inaonesha ni jinsi gani mambo yalivyo magumu!!!!!! Ukiona miili ya marehemu inavyoshushwa toka ghorofa ya juu utalia, na wagonjwa wa operation wanavyo pelekwa wodini ni hatari sana.
Ndugu zangu nini kifanyike au tuendelee kunung'unika tu??
Wodi zilizo athirika zaidi ni sewa haji, kibasila, mwaisela, watoto na majokofu ya kuhifadhia ndugu walio tutangulia ambazo zote hizo hazina jenereta.
Hii inaonesha ni jinsi gani mambo yalivyo magumu!!!!!! Ukiona miili ya marehemu inavyoshushwa toka ghorofa ya juu utalia, na wagonjwa wa operation wanavyo pelekwa wodini ni hatari sana.
Ndugu zangu nini kifanyike au tuendelee kunung'unika tu??