Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika


Nguruvi3,
Nadhani kwa hapa mimi na wewe tulipofika tumeshafahamiana pakubwa.
Mimi nimeeleza yanayowasibu Waislam kuanzia kupotoshwa kwa historia yao kwa kadri ya uwezo wangu. Tukahama huko tukaja mfumokristo nk Kwa nini nafanya jitihada hizi zote Natafuta salama ya nchi yangu Nahisi mwenzangu kama sasa umechoka na mnakasha. Nakuomba mimi na wewe tuishie hapa. Mohamed
Ungekuwa unaitakia nchi hii amani usingeandika kuhusu vita na kupelekana UN au AU. Ni jambo la kusikitisha sana kuwa scholar kama wewe unadhani njia nzuri ya suluhu ni vita. Baada ya kuficha sana kile unachohubiri kwa siri mwenyezi mungu amekudhiri kwa kuandika mwenyewe kuhusu UN na AU kama madai hayatasikilizwa.

Ni wewe umesema unakwenda mikoani kuhubiri kuhusu dhuluma lakini mwenyezi mungu ni mkubwa umetoa siri yako moyoni. Mohamed nakuhakikishia kuwa Watanzania ni waelewa na wanakuelewa wewe na wenzako mna nia gani. Nia yako si ya Sykes wala Nyerere kwa sababu wao waliongozwa na utu. Chuki ni maradhi mabaya sana na yanahitaji msaada wa SOS.

Unaposema asilimia 17 unajumisha waislam wote. Ukiulizwa shule zinazofelisha unasema si za waislam ni za BAKWATA.
Kwakuwa umepewa uongozi mafichoni na taasisi tusizozijua basi unachukua na jukumu la hukumu wanadamu wenzako.
Mtume Muhamad S.A.W hakufanya hivyo na wala halipo katika hadithi, sunna au Quran. Muombe mwenyezi mungu msamaha, uombe ukumbi huu msamaha wa kuhukumu na kushadidia vita. Huo ndio uongozi na ueledi.

Sitakaa kimya na wala sitachoka kuangalia kakundi kadogo ka watu kana taka kulivuruga taifa. Nitaendelea kutoa maoni yangu kwa kile utakachosema au kuandika na ambacho kipo nje ya maadili, usomi, ustaarabu na weledi. Mimi si miongoni mwa wale wanaosubiri wakubusu mkono wakisema 'sheikh kazi yako tunaiona'. Mohamed, Siondoki jamvini kwani kufanya hivyo ni kuwasaliti watanzania walioshi na wanaoishi kwa utangamano miaka nenda rudi.

Nawaomba wana jamvi, penye ukweli tupaseme na tupongeze bila haya wala soni
.Penye uongo, unafiki, usomi zuzu tukemee maana mtu anayetangaza nia ya vita si wa kumuangalia na kumdharau.
 
Ungekuwa unaitakia nchi hii amani usingeandika kuhusu vita na kupelekana UN au AU. Ni jambo la kusikitisha sana kuwa scholar kama wewe unadhani njia nzuri ya suluhu ni vita. Baada ya kuficha sana kile unachohubiri kwa siri mwenyezi mungu amekudhiri kwa kuandika mwenyewe kuhusu UN na AU kama madai hayatasikilizwa.

Ni wewe umesema unakwenda mikoani kuhubiri kuhusu dhuluma lakini mwenyezi mungu ni mkubwa umetoa siri yako moyoni. Mohamed nakuhakikishia kuwa Watanzania ni waelewa na wanakuelewa wewe na wenzako mna nia gani. Nia yako si ya Sykes wala Nyerere kwa sababu wao waliongozwa na utu. Chuki ni maradhi mabaya sana na yanahitaji msaada wa SOS.

Unaposema asilimia 17 unajumisha waislam wote. Ukiulizwa shule zinazofelisha unasema si za waislam ni za BAKWATA.
Kwakuwa umepewa uongozi mafichoni na taasisi tusizozijua basi unachukua na jukumu la hukumu wanadamu wenzako.
Mtume Muhamad S.A.W hakufanya hivyo na wala halipo katika hadithi, sunna au Quran. Muombe mwenyezi mungu msamaha, uombe ukumbi huu msamaha wa kuhukumu na kushadidia vita. Huo ndio uongozi na ueledi.

Sitakaa kimya na wala sitachoka kuangalia kakundi kadogo ka watu kana taka kulivuruga taifa. Nitaendelea kutoa maoni yangu kwa kile utakachosema au kuandika na ambacho kipo nje ya maadili, usomi, ustaarabu na weledi. Mimi si miongoni mwa wale wanaosubiri wakubusu mkono wakisema 'sheikh kazi yako tunaiona'. Mohamed, Siondoki jamvini kwani kufanya hivyo ni kuwasaliti watanzania walioshi na wanaoishi kwa utangamano miaka nenda rudi.

Nawaomba wana jamvi, penye ukweli tupaseme na tupongeze bila haya wala soni
.Penye uongo, unafiki, usomi zuzu tukemee maana mtu anayetangaza nia ya vita si wa kumuangalia na kumdharau.
Nguruvi3,
Umenena. Na hapo nasema "Amen!"
 
Zing,

Nataka nikufunze sheria za kuandika.

Nukta huwa tatu kama hivi: ...

Mfano katika sentensi kama hii ifuatayo: Zing na rafiki zangu wengine...

Siyo: Zing na rafiki zangu wengine..................................................

Wajuzi watajua kuwa wewe bado.
Unavamia.

Furaha yangu ni kuona unaandika vizuri.

Mohamed

Teh he teh eh teh teh eti unifundishe kuandika.!!!!!!!! ?????

Maisha yangu ya kila siku na kibarua zinazonipatia mlo kwa zaidi ya 70% hakutegemeii kuandika.

Mzee mohamed saidi hapa tuko kwenye Miaka 50 baada ya uhuru. Elimu ya nukta , mkato tulishamaliza zamani tukafaulu. Laba kama sasa umeishiwa hoja.
Maswali kibao nimekuuliza kwa mwandiko mzuri hujatoa majibu. Sasa umeamua kuhamia kwenye sarufi. teh teh teh Ni matatizo ya mfumo Kristo Momhe said teh teh teh

Tukichukua mabandiko yako wewe mwenyewe yana makosa ya syantax na semantics kibao., Vile vile Unachaganya na lugha.


 
Chakushangaza jina Mohamed linawapa taabu sana wengi wao. Linatisha.

Wanapoliandika hujidai wamekosea spelling, huliandika sivyo ndivyo. Makusudi au ndio vilaza wa kuandika? Wananchekesha!
 

Teh he teh eh teh teh eti unifundishe kuandika.!!!!!!!! ?????

Maisha yangu ya kila siku na kibarua zinazonipatia mlo kwa zaidi ya 70% hakutegemeii kuandika.

Mzee mohamed saidi hapa tuko kwenye Miaka 50 baada ya uhuru. Elimu ya nukta , mkato tulishamaliza zamani tukafaulu. Laba kama sasa umeishiwa hoja.
Maswali kibao nimekuuliza kwa mwandiko mzuri hujatoa majibu. Sasa umeamua kuhamia kwenye sarufi. teh teh teh Ni matatizo ya mfumo Kristo Momhe said teh teh teh

Tukichukua mabandiko yako wewe mwenyewe yana makosa ya syantax na semantics kibao., Vile vile Unachaganya na lugha.



Kwa maswali ndugu yangu nimejitahidi sana kujibu kama sijaweza yote niwie radhi.

Sasa ndugu yangu ukiona mahali nami nimekosea nisahihishe wala sitakasirika hata kidogo kwa kuwa utakuwa umenipa elimu. Tumefika kote huku kwa kupiga goti na kujifunza.

Mohamed
 
Sina hakika lakini ningependa unisomeshe kuhusu hili la Waislam na CCM.

Mohamed

Sheikh Mohamed,

Umetoa takwimu hapa kwamba katika ajira za hii serikali ya mfumo kristo, waislamu wako 17% huku wakristo wakiwa 83%

Umetoa takwimu hapa jinsi serikali hii ya mfumo kristo inavyowakandamiza waislamu katika elimu, ukatoa takwimu za wanafunzi waliochaguliwa kuingia sekondari na vyuo vikuu. Takwimu zikaonyesha waislamu wanaochaguliwa katika mkoa wa dsm ni kati ya 14% - 23% wakati wasio waislamu ni 77% - 86%.

Ukaonyesha kwamba population ya waislamu katika mkoa wa dsm ilikuwa inafikia 70% lakini wakawa wanafanyiwa dhulma.

Sasa inapotokea unasema kwamba hufahamu uungaji mkono wa waislamu kwa ccm na tumetoka kwenye uchaguzi mwaka mmoja uliopita na ukiwa ni mtafiti wa historia napata shaka na msimamo wako.
 
Sheikh Mohamed,

Umetoa takwimu hapa kwamba katika ajira za hii serikali ya mfumo kristo, waislamu wako 17% huku wakristo wakiwa 83%

Umetoa takwimu hapa jinsi serikali hii ya mfumo kristo inavyowakandamiza waislamu katika elimu, ukatoa takwimu za wanafunzi waliochaguliwa kuingia sekondari na vyuo vikuu. Takwimu zikaonyesha waislamu wanaochaguliwa katika mkoa wa dsm ni kati ya 14% - 23% wakati wasio waislamu ni 77% - 86%.

Ukaonyesha kwamba population ya waislamu katika mkoa wa dsm ilikuwa inafikia 70% lakini wakawa wanafanyiwa dhulma.

Sasa inapotokea unasema kwamba hufahamu uungaji mkono wa waislamu kwa ccm na tumetoka kwenye uchaguzi mwaka mmoja uliopita na ukiwa ni mtafiti wa historia napata shaka na msimamo wako.

MM,

Pokea hii kwa muhtasari. Wewe kunisomesha mimi hutaki ila mimi ndiyo wa kukushikia wewe chaki. Sawa. Soma hii hapo chini:
"In Prof. Malima's death themovement was robbed of its leader and as a result the religious euphoria whichwas at fever pitch as the country was preparing to enter into second multipartyelection waned away. It took a decade to bring the Muslim movement back ontrack and the irony for that was, it was not CCM the old enemy which wasresponsible for that but an opposition party, Chama Cha Maendeleo na Demokrasia(CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslimpresident, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel's back. The CatholicChurch prior to election issued an Election Manifesto and a document ofguidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMAwas a former Roman Catholic priest. That said it all. Muslims mobilised for thegeneral election in a manner never seen before to oppose CHADEMA and theChurch. Muslims irrespective of their political affiliations campaigned for thereturn to office of a Muslim president."

Mohamed
 
MM,

Pokea hii kwa muhtasari. Wewe kunisomesha mimi hutaki ila mimi ndiyo wa kukushikia wewe chaki. Sawa. Soma hii hapo chini:
"In Prof. Malima's death themovement was robbed of its leader and as a result the religious euphoria whichwas at fever pitch as the country was preparing to enter into second multipartyelection waned away. It took a decade to bring the Muslim movement back ontrack and the irony for that was, it was not CCM the old enemy which wasresponsible for that but an opposition party, Chama Cha Maendeleo na Demokrasia(CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslimpresident, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel's back. The CatholicChurch prior to election issued an Election Manifesto and a document ofguidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMAwas a former Roman Catholic priest. That said it all. Muslims mobilised for thegeneral election in a manner never seen before to oppose CHADEMA and theChurch. Muslims irrespective of their political affiliations campaigned for thereturn to office of a Muslim president."

Mohamed
Aaah, so this is what you believe. Is this fact? Unaweza kuniambia hakuna Muislamu ambaye hakumpigia Kikwete kura? Unataka kuniambia kura alizopata Kikwete 60% ni za Waislamu peke yao na Chadema kilipigiwa kura na Wakristo ambao ni 20%? Is this what you are saying? Hujaona kuwa hata NEC ilichakachua kura kumpa Kikwete ushindi? Katika nchi ambako kwa kawaida asilimia 60% plus ya wapiga kura hushiriki katika uchaguzi imekuwaje katika uchaguzi wa mwaka 2010 asilimia 40% wajitokeze kupiga kura? There are more questions than answers. There are more issues than Islam versus the Catholic church. Na kama mtafiti mahiri ungeliona hilo.
 
Ungekuwa unaitakia nchi hii amani usingeandika kuhusu vita na kupelekana UN au AU. Ni jambo la kusikitisha sana kuwa scholar kama wewe unadhani njia nzuri ya suluhu ni vita. Baada ya kuficha sana kile unachohubiri kwa siri mwenyezi mungu amekudhiri kwa kuandika mwenyewe kuhusu UN na AU kama madai hayatasikilizwa.

Ni wewe umesema unakwenda mikoani kuhubiri kuhusu dhuluma lakini mwenyezi mungu ni mkubwa umetoa siri yako moyoni. Mohamed nakuhakikishia kuwa Watanzania ni waelewa na wanakuelewa wewe na wenzako mna nia gani. Nia yako si ya Sykes wala Nyerere kwa sababu wao waliongozwa na utu. Chuki ni maradhi mabaya sana na yanahitaji msaada wa SOS.

Unaposema asilimia 17 unajumisha waislam wote. Ukiulizwa shule zinazofelisha unasema si za waislam ni za BAKWATA.
Kwakuwa umepewa uongozi mafichoni na taasisi tusizozijua basi unachukua na jukumu la hukumu wanadamu wenzako.
Mtume Muhamad S.A.W hakufanya hivyo na wala halipo katika hadithi, sunna au Quran. Muombe mwenyezi mungu msamaha, uombe ukumbi huu msamaha wa kuhukumu na kushadidia vita. Huo ndio uongozi na ueledi.

Sitakaa kimya na wala sitachoka kuangalia kakundi kadogo ka watu kana taka kulivuruga taifa. Nitaendelea kutoa maoni yangu kwa kile utakachosema au kuandika na ambacho kipo nje ya maadili, usomi, ustaarabu na weledi. Mimi si miongoni mwa wale wanaosubiri wakubusu mkono wakisema 'sheikh kazi yako tunaiona'. Mohamed, Siondoki jamvini kwani kufanya hivyo ni kuwasaliti watanzania walioshi na wanaoishi kwa utangamano miaka nenda rudi.

Nawaomba wana jamvi, penye ukweli tupaseme na tupongeze bila haya wala soni
.Penye uongo, unafiki, usomi zuzu tukemee maana mtu anayetangaza nia ya vita si wa kumuangalia na kumdharau.

Mkuu,

Huna haja ya kumwekea maneno mdomoni Mzee Muhamed Said,watu wote tumesoma na hatujaona neno vita sasa wewe haya umeyatoa wapi!?
Au wewe unalihitaji hilo liwe mtaji wa kisiasa au kwengineko?ili ionekane kwamba MS amechochea vurugu?
Ninacho kumbuka yeye kusema "nyinyi na sisi kukutana mezani,nyinyi kule,sisi huku kati wapatanishi" sasa hayo ya vita yanatoka wapi?
 
Aaah, so this is what you believe. Is this fact? Unaweza kuniambia hakuna Muislamu ambaye hakumpigia Kikwete kura? Unataka kuniambia kura alizopata Kikwete 60% ni za Waislamu peke yao na Chadema kilipigiwa kura na Wakristo ambao ni 20%? Is this what you are saying? Hujaona kuwa hata NEC ilichakachua kura kumpa Kikwete ushindi? Katika nchi ambako kwa kawaida asilimia 60% plus ya wapiga kura hushiriki katika uchaguzi imekuwaje katika uchaguzi wa mwaka 2010 asilimia 40% wajitokeze kupiga kura? There are more questions than answers. There are more issues than Islam versus the Catholic church. Na kama mtafiti mahiri ungeliona hilo.

MM,

Siyo hilo tu tunayo mengi sana ambayo hata sisi yanatushangaza bado hatujapata majibu yake. Nakuunga mkono katika "observation zako."

Mohamed
 
MM,

Pokea hii kwa muhtasari. Wewe kunisomesha mimi hutaki ila mimi ndiyo wa kukushikia wewe chaki. Sawa. Soma hii hapo chini:
"In Prof. Malima’s death themovement was robbed of its leader and as a result the religious euphoria whichwas at fever pitch as the country was preparing to enter into second multipartyelection waned away. It took a decade to bring the Muslim movement back ontrack and the irony for that was, it was not CCM the old enemy which wasresponsible for that but an opposition party, Chama Cha Maendeleo na Demokrasia(CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslimpresident, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel’s back. The CatholicChurch prior to election issued an Election Manifesto and a document ofguidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMAwas a former Roman Catholic priest. That said it all. Muslims mobilised for thegeneral election in a manner never seen before to oppose CHADEMA and theChurch. Muslims irrespective of their political affiliations campaigned for thereturn to office of a Muslim president."

Mohamed

Hii si nyundo sijui niiteje, nisaidieni.
 

Kwa maswali ndugu yangu nimejitahidi sana kujibu kama sijaweza yote niwie radhi.

Sasa ndugu yangu ukiona mahali nami nimekosea nisahihishe wala sitakasirika hata kidogo kwa kuwa utakuwa umenipa elimu. Tumefika kote huku kwa kupiga goti na kujifunza.

Mohamed

Mzee mohamed said nomba utoe maoni yako kuhusu haya mambo mawili
I
Maauzmi au mpango wa Nyerere kukubali kuahamishia Makao mkuu Dodoma kwa mtzamo maoni yako

  • yalikuwa ni maamuz na mpango ya kisiasa?
  • Ni moja wapo ya maamuzi maamuzi ya mfmumo kristo kukandamiza waislam ?
Yaani toa maoni yako yeyote hata tofauti na sababu nilizotaj hapo juu . kama scholar na muislam napenda kusom maoni yako

II
Umegusia mfumo kristo kwenye mambo ya elimu, ajira serikalini. vipi kuhusu

  • Michezo , utamaduni na sanaa je huko huo hakuna mfumo kristo. Mfano Kuna london 2012 mwakani unajua % ya waislam wataoshiriki?
 
Sheikh Mohamed,

Kuongezea tu alichokujibu Jasusi ni kwamba; mwaka 2005 wakrito wakiongozwa na kanisa katoliki walimfanyia kampeni nzito muislamu Jakaya Kikwete, wakaenda mbali sana hadi kuwatangazi waumini wao kwamba Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu na hatukusikia waislamu wakilalamika kwamba kuna udini.

Miaka mitano baadae,mwaka 2010 kanisa katoliki linatoa mwongozo wa uchaguzi kama kawaida yake ingawa bila kutaja nani achaguliwe isipokuwa sifa za mtu anayefaa kuchaguliwa hapo waislamu wakiongozwa na Kikwete mwenyewe wakageuka kulishutumu kanisa kwamba linataka ''kumtimua'' ofisini ili aingizwe mkatoliki mwenzao Dr. Slaa na ambaye bahati iliyoje alipata kuwa padri wa kanisa katoliki! Ikumbukwe kwamba waislamu nao walitoa ilani/mwongozo wa uchaguzi lakini wakristo na dini nyengine pamoja na vyama vy siasa kama chadema, cuf na vyama vingine havikulalamika.

Juzi tumeona jinsi waislamu walivyohamasishwa kutoipigia kura chadema igunga, ikiwa ni muendelezo wa jinsi waislamu na asasi zake wanavyoitumikia ccm kwa manufaa ya kisiasa.

Ukiangalia takwimu za uchaguzi jinsi mikoa yenye idadi kubwa ya waislamu ccm inavyoshinda chaguzi mbalimbali utagundua kwamba waislamu na ccm dam dam ingawa ndio ccm hiyo hiyo ndiyo serikali yake mnaishutumu kwamba inawakandamiza.
 
duh kifaiza kimbea kweli kweli ...sasa hapa mama ndio umechangia nini?

Kwanza pokea mji kwa lile bandiko lako. Nakupa Songea, ukifika huko ukaitazame vizuri Historia ya majimaji na useme ni kweli au si kweli alivyoiongelea Mohamed Said
 
Sheikh Mohamed,

Kuongezea tu alichokujibu Jasusi ni kwamba; mwaka 2005 wakrito wakiongozwa na kanisa katoliki walimfanyia kampeni nzito muislamu Jakaya Kikwete, wakaenda mbali sana hadi kuwatangazi waumini wao kwamba Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu na hatukusikia waislamu wakilalamika kwamba kuna udini.

Miaka mitano baadae,mwaka 2010 kanisa katoliki linatoa mwongozo wa uchaguzi kama kawaida yake ingawa bila kutaja nani achaguliwe isipokuwa sifa za mtu anayefaa kuchaguliwa hapo waislamu wakiongozwa na Kikwete mwenyewe wakageuka kulishutumu kanisa kwamba linataka ''kumtimua'' ofisini ili aingizwe mkatoliki mwenzao Dr. Slaa na ambaye bahati iliyoje alipata kuwa padri wa kanisa katoliki! Ikumbukwe kwamba waislamu nao walitoa ilani/mwongozo wa uchaguzi lakini wakristo na dini nyengine pamoja na vyama vy siasa kama chadema, cuf na vyama vingine havikulalamika.

Juzi tumeona jinsi waislamu walivyohamasishwa kutoipigia kura chadema igunga, ikiwa ni muendelezo wa jinsi waislamu na asasi zake wanavyoitumikia ccm kwa manufaa ya kisiasa.

Ukiangalia takwimu za uchaguzi jinsi mikoa yenye idadi kubwa ya waislamu ccm inavyoshinda chaguzi mbalimbali utagundua kwamba waislamu na ccm dam dam ingawa ndio ccm hiyo hiyo ndiyo serikali yake mnaishutumu kwamba inawakandamiza.

Nyerere.
 
Back
Top Bottom