Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Nijuze bibie umepelekwa lupango kwa muda gani?Vipi? hoja zimekushinda? tafadhali jibu hoja achana na njaa yangu. Unanini weyeee khaaa!
Nijuze bibie umepelekwa lupango kwa muda gani?Vipi? hoja zimekushinda? tafadhali jibu hoja achana na njaa yangu. Unanini weyeee khaaa!
Umenena mkuu, point yako naizingatia
1) Fair Enough
2) Kuna uhusiano upi kesi ya madai na kesi ya kuvuruga amani? moja ni criminal case na moja ni civil case. Hapo amechemsha ana "compare" oranges na apples.
3) Sawa na namba mbili hapo juu.
4) Kesi tofauti kabisa na kama unaona wapo na sheria hazijachukuliwa unangoja nini kuwashitaki? Ulikatazwa?
5) EPA, looo! soma hapa: KESI YA EPA: Maranda, Farijala wafungwa miaka 5
6) Kesi za manunuzi maarufu hizi hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-kesi-dhidi-ya-balozi-mahalu-na-wenzake.html na hii hapa: Shahidi amlipua Dk. Msabaha kesi ya Bosi wa Richmond na pitia TAKUKURU ukaone zingine kibao,si zote zinazotangazwa.
7) Macho ya kengeza? hivi mtu mzima unatolea mfano kilema cha mtu kama vile ameomba? huu ni upunguwani wa hali ya juu, kuna nyuzi mwanakijiji alianza kumkebehi aliye na matatizo ya akili humu humu JF leo anatolea mfano kwa macho kengeza kama yule mwenye nayo kapenda hivyo au kajiumba mwenyewe? Hata Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa hapa nchini ni kengeza lakini ni lini akatolewa mfano kwa kilema chake? Au anataka kumdhalilisha?
Hao aliowataja wote ni pumba tu na chuki binafsi. Kutaja majina bila kuonesha makosa yao ndio nini?
Chief Mkwawa umenena na umesikika, tungekuwa na machifu kama wewe wawili watatu humu, mambo yangekuwa swaaafi. Jee, unajuwa kuwa babu yake Kikwete alikuwa Chief wa ukweli?
Solution ni kutovunja sheria,ila ukivunja sheria kwa kutegemea mtu fulani mbona walimwacha utakuwa mvivu wa kufikiri.
Solution ni kutovunja sheria,ila ukivunja sheria kwa kutegemea mtu fulani mbona walimwacha utakuwa mvivu wa kufikiri.
Mwanakijiji kasahau kale ka msemo ka "two wrongs doesnot make one right".
Nakubaliana na wewe kabisa, sasa solution ya yule anayevunja sheria na sheria hazichukuliwi dhidi yake solution yake ni nini?kobello;2076330]Solution ni kutovunja sheria,ila ukivunja sheria kwa kutegemea mtu fulani mbona walimwacha utakuwa mvivu wa kufikiri
Je wewe na mimi tunaweza kupinda sheria! maana hatuna mamlaka hayo sisi ni watumiaji wa sheria ima tunajua au la. Anayeweza kupinda sheria yaweza kuwa serikali, mahakama, au polisi.kobello;2076491]Solution ni kutotafsiri vibaya sheria za nchi au kuzipndisha na kutegemea utaachiwa kwa kuwa labda...baba alimnunulia suti kiongozi fulani ili aende umoja wa mataifa.Mbona waliomchangia kirilo japhet hawana chochote leo hii?
What about my uncle Seth Benjamin?.....Did he die for these capitalists nakubaliana nawe, swali ni kuwa kwanini sheria ionekane imepindishwa kwa mtu mmoja au wawili na si watu 10 au 15
Namaanisha mbowe alivunja sheria na lissu ametafsiri vibaya sheria zinazomlinda mbunge...don't act like you don't know that....these peoiple are too....normal.Nakubaliana na wewe kabisa, sasa solution ya yule anayevunja sheria na sheria hazichukuliwi dhidi yake solution yake ni nini?
Tunapokuwa na sheria moja kwa taifa halafu ikatumika au istumike sawa kwa wote solution yake ni nini!!!!
Je wewe na mimi tunaweza kupinda sheria! maana hatuna mamlaka hayo sisi ni watumiaji wa sheria ima tunajua au la. Anayeweza kupinda sheria yaweza kuwa serikali, mahakama, au polisi.
Labda nimekuelewa vibaya tafadhali tufafanulie, kwa post zako mbili una imply au refer nini?
Hili ni jukwaa la majadiliano wala huna sababu ya kuwa na hofu ukiongea unajiuma uma.
Rais hakamatwiWakati wa kampeini, Kikwete alipitiliza muda wa mkutano lakini hakukamatwa
heeh! huyu FF yupo obsessed ama?? mbona hasomeki...sasa nimeelewa kwanini watu wame-doubt uwezo wake wa kufikiri.
JF ina sections nyingi jamani ,kuna jukwaa la mapenzi,nk ; hili umeingia la siasa na sio eneo la taarab wewe mama.
Nasikia harufu ya chooni.........