Wewe binafsi umetoa mchango gani kwa the Kubenea's of this world kuwafanya "watu kama SS na CCM wasiweze kuchukua ushindi kirahisi kwa sababu ya technical knockout za kirahisi"??
Una-substantiate vipi kuwa Kubenea asingeandika alichokiandika basi akina SS & co hawatapata ushindi wa kirahisi?
It only goes on prove my point kuwa kumbe mchango wa kina Kubenea (clean or dirt) unahitajika kuliko kunyamaza kama wewe na mimi tunafanya! Huu ukondoo na logic nyingi za wasomi make me really sick..
jamani tuache uongo hii article jamani si tu inamtukana SS bali pia ina makosa makubwa haswa kwenye masuala ya gender discrimination and oppression! Hiyo article imemuanika mwanamke vibaya katika jamii na sidhani kama kuna mwanamke yeyote dunia hii atafurahia lugha hiyo itumike kwake! siamini macho yangu kama Mwanahalisi linaweza kuandika makala yenye kubagua jinsia namna hiyo katika karne hii ilhali hata hao wahariri wana mama zao na wake zao na watoto zao! Jamani huko ni kuvuka mpaka! tuwe fair!!! Kuna haja ya waandishi wetu kupewa somo la gender awareness la sivyo mama zetu watatukanwa kila siku bila kufahamu uchungu wanaousikia wanawake wooteVyanzo vya ndani toka Wizara ya Habari, Michezo na Utamaduni ambayo ndiyo inasimamia tasnia ya habari vinadokeza kuwa Serikali imechukizwa sana na makala iliyoandikwa na gazeti la Mwanahalisi toleo la 195 lenye kichwa cha habari "Akili ya Sofia haiwezi kuwaza zaidi ya ngono" ambapo makala imetumia kejeli (sarcasm) kuelezea maoni ya Waziri Simba.
Sehemu ambayo inaonekana kuwatibua kabisa ni sehemu ya mwisho ya makalah hiyo:
Maneno hayo yaliyokolezwa rangi ndiyo yanaonekana kuwatibua wakuu kiasi cha kuandika barua ya kutaka maelezo toka kwa Mwanahalisi ya kwanini wasifungiwe.
Hata hivyo hilo la kutaka maelezo ni formality tu kwani wenye nchi wameshatoa agizo kuwa Mwanahalisi lifunguwe na safari hii kwa muda mrefu zaidi ili lisiwepo kuelekea uchaguzi mkuu.
Hivi kuna mtu ana clue kuhusu miongozo ya baraza la habari / mahakama inasemaje? Kwamba kipi kina warrant gazeti kufungiwa na kipi ni swala la fidia tu?
anything and nothing, at the sole discretion of the Minister. Once, he/she has acted on kufungia gazeti.. you can not appeal it anywhere, not even in a court of law.
Dayuuuuum!!!! It's like that for real?
yes sir.. na ikitangazwa hali ya hatari, Rais ana uwezo wa kufuta gazeti lolote, kunyamazisha TV yoyote, na by implication hata internet isitoe habari zozote! and guess what?....
Kiranga, ile sentensi ya mwisho, ni direct defamation kwa SS na defamation by innuendo kwa JK, kama SS ameupata uwaziri kwa shughuli hiyo, inamaanisha, aliyempa huo uwaziri ndiye benefishary wa huduma iliyotolewa kumpatia uwaziri.However you spin this, serious accusation kwamba either ngono au akili yake kuwa kwenye ngono ndicho kilichompa uwaziri. Both are salacious accusations.Now they have to prove either or face a legitimate disciplinary action.
Kaka/dada yangu kwa hayo uliyoyasema hapo juu - you are already preaching to converts ambao unfortunately wanahisi wamefika peponi hivyo they have turned a deaf ear. How long has this dragged on now - 18 years??!! Akina NCCR, CHADEMA, CUF, etc wame-achieve nini all this time kwa kutumia hayo unayotu-lecture nayo hapo juu?? Kushika mtutu kupambana na status quo siyo practical kwa mazingira ya sasa lakini tuache ukondoo. Hivi hii sheria iliyopo unategemea ita-work in Kubenea's favour kweli hata kama atakuwa proved beyond reasonable doubt kuwa yuko right? EPA iko wapi? Richmond iko wapi? Meremeta? Wezi wa kuku tu mtaani wanapata kipondo gani in comparison?? Hizo institutions ulizozi-list kwenye red hapo juu zimefanya kitu gani all this while? Gimme a break. Guys, we must be practical - no silver platter stuff here. Sacrifices, sacrifices & sacrifices - this is what crusaders like Kubenea are doing...na sisi wasomi tuambukizwe hili and let's consign theories kwenye serious issues where they belong - trashbin! Extremely disppointed by wasomi (count me in) of this society..............................................................
Huwezi kusema mchango wa kina Kubenea clean or dirt unahitajika, huwezi kumuapproach mtu mwenye status quo, incumbency, bunge, tume ya uchaguzi, civil service, wafanyabiashara, dola, jeshi, executive na hata sehemu kubwa ya mahakama, huwezi kui approach administration hii iliyopo madarakani huku ukiwa na loopholes za kupigwa TKO, hutakiwi kumpa chance CCM na SS, unatakiwa kuja na case cleaner than a tablecloth ili kusudi hata yeye mwenyewe pamoja na kuwa na vyote alivyo navyo nilivyovitaja hapo juu, kama anataka kuku time afanye kazi ya ziada, na akikutime awe anakuonea tu, na akikuonea grassroot organizations tutapiga kelele zote zinazotakiwa.
Lakini leo Mwanahalisi umeingia mtegoni, umevuka mpaka, umesema kitu ambacho so far huna ushahidi, hata kama ni kweli, it is not about what the truth is, it is about what you can prove the truth is.Kwa hiyo watu wenye akili wanaweza kuona Mwanahalisi wamekuwa overzealous na hawako makini. Kama nilivyosema hapo juu, struggle inahitaji vichwa na Mwanahalisi kama wanashindwa mitego midogo midogo tu na kujitia vitanzi wao wenyewe kwa kuwa overzealous bila kuweza ku back up maneno yao wenyewe, basi watakuwa hawatufai katika vita dhidi ya status quo bongo.
Wanachotakiwa kuonyesha hapo si kwamba SS kazungumzia mambo ya ngono, bali kwamba kapata uwaziri ka mambo ya ngono. That is gonna be hard.
Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Junius, Kiranga na wengineo mliotoa michango kuhusu makala inayosemekana ya libel dhidi ya Waziri SS. Mbona hamtii maanani mchango wa Zak Malang (Reply No 21 hapo juu) kwamba ni bora suala hili lingeachiwa tu kati ya SS na Mwanahalisi? Kwa nini serikali iingilie?
Serikali hii imezoe sana kuingilia masuala ya libel na mengine yanayohusu individuals:
1. Hao hao Sofia Simba na Mkuchika (kama mawaziri) waliingilia kati na kumkemea, kumtisha Reginald Mengi alipowatangaza hadharani wale mafisadi papa. Haikuwahusu kabisa, kwani ilichotakiwa ni waliokashifiwa na Mengi ni kwenda Mahakamani -- kama walivyofanya baadhi yao baadaye.
2. DCI Manumba alituma makachero wa polisi kupekua ofisi za Mwanahalisi kutafuta nyaraka (statement za mteja) za benki ya NBC zilizosemekana zimevujishwa na mfanyakazi mmoja wa benki hiyo. Polisi haikuwa na haki kufanya upekuzi huo kwa individual kutokana na shinikizo kutoka taasisi binafsi (such as NBC), unless kama nyaraka hizo zingekuwa ni za serikali. Hilo lilikuwa ni kosa kwa upande wa serikali -- na kitu sahihi kilikuwa ni kwa Mteja wa NBC kuishitaki benki yake kwa kuvujisha statement zake kwa gazeti -- hatua ambayo mteja huyo (Chenge) kisha chukua.
Hivyo inafaa sana kuishinikiza serikali isiwe inaingilia masuala ya libel between individuals, kwani kuna mahakama zimewekwa kwa kazi hiyo.
hawa walishakosa kazi hata siwashangai akili zao zinatakiwa kukua na kushugulikia matatizo ya nchi hii wanachanganywa na nn mbona habari yenyewe inaeleweka
Some of the preceding sentiments just make me feel sick, bitter.
Mimi nasema hats off to Kubenea & co - at least they can dare. Wewe (sisi) je, can you (we)?
Ninyi (sisi) m(tu)naojiita wasomi ndiyo useless ingredients katika recipe ya kuleta mabadiliko ya kweli. Watu kama kina SS wanaropoka wapendavyo kwa vile ninyi (sisi) "wasomi" m(tu)mewaruhusu wafanye hivyo. Article ya kina Kubenea is an outcome of sheer frustration baada ya kuona watu ("wasomi") wanaotegemewa kuiweka sawa jamii kwa ku-challenge status quo wanaishia kulalama kutokea kwenye mablanketi (eg hapa JF) badala ya to come out openly na kusema "no" to this rubbish. So, as far as am concerned, screw the law if that's what it takes to turn things around. Mandela mwenyewe alikuwa branded "terrorist" na serikali ya makaburu (na pengine kwa sheria zao walikuwa right), akaponda mawe "Segerea" hatimaye akawa political icon of the planet! Ninyi wasomi mnataka kuniambia nini hapa?? Kama hujafanya chochote openly kama alivyofanya Kubenea, shut the hell up and instead anza kutafuta namna ya kutoa legal advice kwa crusader Kubenea. This society needs 100 Kubenea's - what a massive take-off that would be!
jamani tuache uongo hii article jamani si tu inamtukana SS bali pia ina makosa makubwa haswa kwenye masuala ya gender discrimination and oppression! Hiyo article imemuanika mwanamke vibaya katika jamii na sidhani kama kuna mwanamke yeyote dunia hii atafurahia lugha hiyo itumike kwake! siamini macho yangu kama Mwanahalisi linaweza kuandika makala yenye kubagua jinsia namna hiyo katika karne hii ilhali hata hao wahariri wana mama zao na wake zao na watoto zao! Jamani huko ni kuvuka mpaka! tuwe fair!!! Kuna haja ya waandishi wetu kupewa somo la gender awareness la sivyo mama zetu watatukanwa kila siku bila kufahamu uchungu wanaousikia wanawake woote
Spot on M-mbabe!Some of the preceding sentiments just make me feel sick, bitter.
Mimi nasema hats off to Kubenea & co - at least they can dare. Wewe (sisi) je, can you (we)?
Ninyi (sisi) m(tu)naojiita wasomi ndiyo useless ingredients katika recipe ya kuleta mabadiliko ya kweli. Watu kama kina SS wanaropoka wapendavyo kwa vile ninyi (sisi) "wasomi" m(tu)mewaruhusu wafanye hivyo. Article ya kina Kubenea is an outcome of sheer frustration baada ya kuona watu ("wasomi") wanaotegemewa kuiweka sawa jamii kwa ku-challenge status quo wanaishia kulalama kutokea kwenye mablanketi (eg hapa JF) badala ya to come out openly na kusema "no" to this rubbish. So, as far as am concerned, screw the law if that's what it takes to turn things around. Mandela mwenyewe alikuwa branded "terrorist" na serikali ya makaburu (na pengine kwa sheria zao walikuwa right), akaponda mawe "Segerea" hatimaye akawa political icon of the planet! Ninyi wasomi mnataka kuniambia nini hapa?? Kama hujafanya chochote openly kama alivyofanya Kubenea, shut the hell up and instead anza kutafuta namna ya kutoa legal advice kwa crusader Kubenea. This society needs 100 Kubenea's - what a massive take-off that would be!