Makala ya Mjengwa kuhusu wahisani kugomea bajeti Sakata la Escrow

Huu ni upumbavu mkubwa. Wahisani wamegoma kutoa pesa kwa lengo la kushinikiza uwajibikaji wa serikali, not otherwise. Najua wananchi wengi wataumia sana lakini ni watu hawa hawa ambao hawaiwajibishi serikali yao kwa namna yoyote, tena hata hizo nazo zikija zitaibwa tena tu. Nasema hivi, WAHISANI MSITOE PESA HADI SERIKALI IWAJIBIKE NA WAHUSIKA WOTE WAWAJIBISHWE. Wananchi tungeshindwa kwa sasa, ila uchaguzi ujao tunawanyima kura. Wewe Maggid Mjengwa zamani nilikuwa nakuona mtu wa maana sana, ila kwa sasa hapana; you want to promote INSANITY!
 
Mjengwa youa re dead wrong. Wewe leo unaona hizo billion 987 ni nyingi mno. Lakini huoni hizo za Escrow tulizonazo/ambazo tumeibiana wenyewe kwamba ni kiasi kikubwa? Kaka Majid, hivi unajua kwamba hizo hela za hao wahisani ni za walipa kodi kama mimi na wewe? Majid, tofauti na sisi viongozi wa hizo nchi hisani wanawajibika kwa wananchi wao. Huwezi kumwaga kiasi hicho cha pesa wakati unajua nusu ya pesa kama hizo imeliwa na wachache. Tena kwenye taifa of the so called maskini.

'Majid wenyewe tumeona ushahidi usio na shaka kabisa kwamba kwa sasa hizo hela zililiwa na wachache. Tumeona nyaraka mpaka ambavyo ALMOST viongozi wetu wote wamepata mgao wao. By the way hata hao wahisani wanapitia humu JF..they are more informed probaby than YOU and ME ni jinsi gani hizi pesa zimeliwa! Mkuu hawa watu hawakurupuki. Hizi pesa zikihamishwa wana namna wanavyozifuatilia.

Much as nakubali kwamba watu wasio na hatia watalipa gharama, lakini kiukweli..ambaye ana jukumu la kuwaonea huruma hawa wananchi ni yule waliyemchagua na si vinginevyo! Hiyo PCCB na CAG wote tunayajua majibu. Lakini hapa tunakuwa wanafiki kwamba tusubiri uchunguzi well aware of the outcome.

Mimi naona kiukweli kama tumeshindwa kujiendeshea mambo yetu wenyewe basi hatuna budi kutafuta watu wa kutufundisha nini maana ya kujitawala.

Sisi watanzania/waafrika tunajua uhuru wa kujitawala ni kuiba unlimited resources za serikali, kutembelea magari ya kifahari, kupanda ndege daraja la kwanza, kuwa na mali ulaya na kwingineko etc...kujitawala ni utumishi na si vinginevyo. hatufikirii kujenga barabara..kuweka huduma bora za afya..viongozi wetu wakiugua kama sisi watibiwe hapa Tanzania. Imagine mpaka bunge letu linaidhinisha bajeti ya kutibu viongozi na wakubwa wengine huko ulaya! And we wananchi tumekaa kimya. Ngoja tunyimwe pesa....Labda hata sisi watanzania tulio kwenye usingizi wa pono tutaamka!

Na watawala wetu what they have managed..ni kuhakikisha hata wale wenye uwezo wa kuwaambia please dont eat too much..wanawapa mgao wao! Very sad indeed. Watanzania tuamke. Tuache hizi porojo. Nchi ni yetu sote.

Asante

nakuunga mkono kwanza the so called wahisan I hate them. liwaao hao tu. they got their interest. sio watu wena hata kidogo.

about mjengwa. kabla ya kuoana na mswede alikuwa RAIA mzur mtanzania halisi. wascandinav wanatabia flan sitaisema hapa.

nilikuwa makini akijinasibu na kumwuita Asha rose mama. Ni sahihi ni mama Yetu. tatizo alivyokuja kutaka kumuuzia wanja. najau hajanunua.

mtazamo wangu. hawa wazungu wala wasilete hela zao. na nisingeona ajabu wangetoa japo wanajua zinaliwa kwa sabb ni hawohawo wezi.

utawala. nadhani kujitawala wenywwe hatuwez. we are done. tulipata Uhuru wa bendera. lakin mkolon mweuzi hatujamuweza. ni kikulacho kinguoni mwako.

marekani au wajeruman watuchukue tu liwalo na....

namshaur kaka angu mjengwa school mate epuka kuwapigia magoti watu. ungetangaza ungeuza tu plot yenu. buy time locate schedule mambo yenu. you will definitely make it.
 
wahisani wakate kabisa misaada hii nchi si ya kusaidiwa hata kidogo mbona mkapa alithubutu mpaka kulipa madeni ya ndani na ya nje wazee wale wa east africa mpaka kesho wanamlilia mkapa pamoja na mapungufu huyu simsahau alipandisha mshahara 50% kimya kimya hata majani ya chai hayakupanda bei enz zake walim walijenga sana semina kibao akaleta pesa shuleni leo hii acha tu majanga yasiyosemeka
 
Back
Top Bottom