Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Bi sent 50 una haki kutoa maoni yako,lakini pia nafikiri kwa mtazamo wangu ama umeielewa vibaya makala ile ya Kasungura au umepotoka hasa kwa kumtuhumu moja kwa moja mwandishi kuwa anatumiwa.Mimi niliisoma makala ile,ujumbe aliokuwa anataka kuufikisha kwa jamii umejikita zaidi kutokana na kauli mbalimbali alizotoa waziri kigogo mwenyewe.
Binafsi nampongeza mwandishi wa makala ile namuomba asikatishwe tamaa bali aendelee kutoa mchango wake katika vita hii ya ukombozi wa fikra.Mimi naamini kuwa MUHIMU ZAIDI NI NCHI YETU TANZANIA NA WANANCHI WAKE SIO KIONGOZI KAMA MTU BINAFSI.Kiongozi yupo leo kesho hayupo lakini Tanzania na Watanzania wataendelea kuwepo.
Kama kiongozi analeta usanii lazima apewe ukweli na sio kujikomba huku moyoni unasononeka.
BIG UP wana JF wote wanaotetea uhuru wa maoni
Binafsi nampongeza mwandishi wa makala ile namuomba asikatishwe tamaa bali aendelee kutoa mchango wake katika vita hii ya ukombozi wa fikra.Mimi naamini kuwa MUHIMU ZAIDI NI NCHI YETU TANZANIA NA WANANCHI WAKE SIO KIONGOZI KAMA MTU BINAFSI.Kiongozi yupo leo kesho hayupo lakini Tanzania na Watanzania wataendelea kuwepo.
Kama kiongozi analeta usanii lazima apewe ukweli na sio kujikomba huku moyoni unasononeka.
BIG UP wana JF wote wanaotetea uhuru wa maoni