Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #21
Hapo pia UKIMWI unafanya timing tukijisahau sana ndo unalipuka kwa upya.Mkazo mkubwa wa kampeni za kuelimisha watu dhidi ya maambukizi ya ya VVU zilifanyika sana miaka ya nyuma virusi hivyo vilipokuwa bado ni vigeni,sasa hivi naona mkazo umeelekezwa kwenye COVID 19.