Ben, you might not be with us physically but for sure you are with us spiritually. Mwili wako umekufa na kuzikwa lakini maneno yako yanaendelea kuishi na kuchanua...RIP Ben Saanane!.......
Taarifa za kifo nani kazitoa?Ben, you might not be with us physically but for sure you are with us spiritually. Mwili wako umekufa na kuzikwa lakini maneno yako yanaendelea kuishi na kuchanua...RIP Ben Saanane!
Taarifa za kuwa hai nani kazitoa?Taarifa za kifo nani kazitoa?
Nani kathibitisha kuwa ni marehemu? Watu hukaa mateka hata miaka mitano.Rip Ben saanane
Nani kathibitisha yuko hai?Nani kathibitisha kuwa ni marehemu?
Mateka wa nani na kwa nini miaka mitanoWatu hukaa mateka hata miaka mitano.
Basi si vyema kuassume ameshakufa kwasababu taarifa za kuwa hai hazipo. Tuassume baada ya kuhakikisha tunapata majibu ya huo uchunguzi waliouahidi.Taarifa za kuwa hai nani kazitoa?
Be careful, kama mkiendelea kusema amekufa, ile mindset ya kutaka apatikane itakuwa compromised kwa namna nyingi tu. It will be as if we have given up!Nani kathibitisha yuko hai?
Mateka wa nani na kwa nini miaka mitano
PowaNi mwaka mmoja umetimia leo tangu Kamanda Mawazo auawe Kikatili