Makaka zetu mkioa msisahau ndugu zenu...

sasa una lalama nini,,,,,,,,,familia ni baba mama na watoto,,,,,,wengine ni upendo tu,,,jibika si lazimiki,,,,,,,,ukiendekeza wengine wanabweteka hawajioni wanawajibu,,,wanakutazama kama the only solution,,,,,then mnabaki mnatambaa,,hanyanyuki mtu,,,,,,maisha ni vita,,acha kakio apambane,,,,,ipo kitu anapata kwa wife ,,faraja,,,baada ya kazi weye waja na madai tuuuu,,,,kizaman hicho yapo mambo ya msingi mf ,,makazi ya familia kama hamkujaliwa kuwa nayo,,,,,then,,,kama ugonjwa ameenda sana ada tena huyo mumbariki,,,unataka awasaidie akifa mapema wanawe wawe chokoraa,,,,,gundu mia ya mia:spy:

hayajakufika dats y.
 
angalia nilichosema, 'wanamme wengi' sijasema 'wanamme wote'

lakini ukweli utabaki pale pale wanamme wakioa hawakumbuki walikotoka utadhani waliota kwenye mti.

acha kubshana nae wa2 wengne ndo walivyoumbwa. Hata akiona nyeupe atabisha kua ni nyeus.
 
hop hujanielewa ndg yang, sihitaj msaada wa wa pesa kwake nipo kwangu najitegemea na nna pesa zangu. Cna gubu na wif ang i respect her as my cc inlaw.

Nimekuelewa sana Anita Baibiee. Umesame haya: awasikilize kila jambo??

Inasikitisha sana kaka anaoa af anakua hatak hata kuckia ndugu zake may be awe na shida zake ndo anaanza kuwatafuta. Mwingne anadiriki kutamka ndugu yangu ni mke wangu 2! It real pain.

Hapo unataka ndugu awasikieje?? Unataka arudi nyumbani alikozaliwa? Ni kweli pia ukioa ndugu yako pia ni mkeo kwani ndie anaekuzalia kutengeneza familia yako (watoto). Jua wazi kama ulivyosame nawe umeolewa, sijui utajisikiaje Mumeo akisema wewe sio nduguye na akasema nduguye ni wale tu aliozaliwa nao tumbo mmoja wakati wewe wampa kila kitu, wajitoa mwili wakeo wote kwake, wamuhudumu hata kumchamba akiwa mgonjwa (je, wewe na wale aliozaliwa nao damu mmoja nani ni ndugu wa kufa na kuzikana??) . Ujasikia ule wimbo wa TWANGA wa "JIRANI YAKO NDIO NDUGUYO??) Pengine mtu uliyezaliwa nae tumbo moja anaweza kutokukujali kama ndugu kutokana na mazingira na wakati...haiji hivi hivi tu mtu akioa akachukia ndugu zake, labda ndugu nao nio GUBU au Mkewe anatatizo. ILA kaa ukijua kuwa Wanaume wote waliooa labda kama ni shoga, wanaoa wanawake hivyo, si sahihi sana kumtuhumu nduguyo anapooa mwanamke mwezio ukaona hakufaa kuoa, shida kuwa ya kina dada na akina mama wengi huwa wanapowachukuliwa wake za kaka au watoto wao ndivyo sivyo, wanasahau kuwa nao wameolewa au wataolewa, hivyo ndugu wa upande wa Kiume kule walikoolewa nao wanawaona ni tatizo, kero, mzigo, machukiozo na wasiofaaa kwa ndugu yao..

UKiishi pasipo kumfuatilia mwenzio, utapata amani..kama hutaki akusaidie hela au chochote, ya nini una lalamika??, Kaka alioa na ninyi ndio pengine mlimwozesha, leo mnalalamika eti hajali ndugu, sasa kama huko nyuma alipokuwa anawajali mmesahau, mtakumbuka akiwajali sasa ??. NDUGU WENGI NI KERO KATIKA NDOA...NI CHANZO CHA NDOA NYINGI KUVUNJIKA..TENA ULIFUATILIA KWA NINI MTU ANAMLALAIKIA NDUGUYE ALIEOA, UNAWEZA KUKUTA NI UBINAFSI TU WA KUTAKA ATIMIZIWE MAMBO YAKE AMBAYO PENGINE HAYANA MASLAHI KABISA NA NDOA YA NDUGUYE ..WENGINE ANAANZA KUGOMBANA NA NDUGUYE ETI KISA KILA SIKU ANAKULA UGALI NA MAHARAGE, AU HAJAPEWA HELA YA MTAJI, ALIGOMBEZWA NA WIFI AU SHEMEJI WAKATI ALIPOAMUA KUTUMIA MAJI YOTE NDANI KUFULIA NGUO ZAKE BINAFSI, ALIAMSHWA ASUBUHI KUFUATA SUKARI DUKANI NK...NK

RAHA ZETU ZINAWEZA KUWA KERO NA MZIGO KWA WENGINE..TUWE MAKINI NDUGU ZETU WANAPOAMUA NAO KUSIHI MASIHA YAO NA FAMILIA ZAO..!!KUNA WENGINE UKIWAULIZA JE, UNAYOTAKA NDUGUYO AKUFANYIE, WEWE UNAWEZA KUMFANYIA??ANAKUWA HATA JAWABU HANA...ANABAKI KULALAMIKAA TU "YEYE NI NDUGU YANGU LAZIMA ANISIKILIZE!!"
 
Fighter, na wanawake ambao hawajaolewa na wanasaidia familia zao?

Kongosho, nikweli pia, kwa mifano mingi wanawake ambao hawaoelewa wansaidia sana kwao(lkn huu kwetu auapply, masister wanabom kwetu na wengine wameolewa) lkn jibu dogo tu wadada ni watu wakujali na huruma ukilinganisha na wakaka.
 
kwani GT ni nani anayesababisha wakaka wakioa wasahau ndugu zao kama sio mwanamke mwenzao. Tena wengine huwa hawataki hata ndugu wa kiume wafike kumsalimia , nyie wadada acheni tabia mbaya, mbadilike, msipobadilika mtapoteza mwelekeo katika maisha yenu. mm niwaulize mnapochukia ndugu zet kwani hamjui hao ndio waliotulea na kutusomesha? cha ajabu mwanaume akifanya kama wadada mnaanza kuwalaumu. ama kweli no woman no cry
 
Inasikitisha sana kaka anaoa af anakua hatak hata kuckia ndugu zake may be awe na shida zake ndo anaanza kuwatafuta. Mwingne anadiriki kutamka ndugu yangu ni mke wangu 2! It real pain.
kuna msemo wa cha kuazima hakistili ******, huyo kaka now anafamilia yake anatakiwa kujenga msingi mzuri kwa watoto wake japo atawasaidia mtakapokuwa na shida, nawe tafuta maisha yako
 
kumbuka"mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja". Nataka kusema ndugu yake wa karibu baada ya kuoa na mke na si vinginevyo. asipokupa msaada usilalamike, komaa kivyako.
 
Huyo kiboko safi sana, maana mindugu imezoea kujazana hapo kwa kaka yao na kuona watoto wa kaka yao au hata mke wake hawana haki na mali za ndugu yao..mko mko tu , kumbe hizo ndio mali zenu, nakumbuka jinsi ndugu za baba yangu walivyokuwa wakifurika kwetu..yaani ukoo mzima uko pale..kazi kula na kulala tu,...wakiwaoneni wanaanza kusunya ..isingekuwa juhudi za maza..mpaka leo wangekuwa wapo home..kujimilikisha vitu ambavyo sio vyao..na bado mtakoma mwaka huu..wembe ule ule..
 
Back
Top Bottom