Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,784
- 12,226
Jitambulishe kwa jina lako halisi upate U-DC!! Bado kuna nafasi zilizo wazi !Hafuji.
Magufuli oyeeeeeeeeee
Jitambulishe kwa jina lako halisi upate U-DC!! Bado kuna nafasi zilizo wazi !Hafuji.
Magufuli oyeeeeeeeeee
Elimu yake kijiko(kiduchu)Jitambulishe kwa jina lako halisi upate U-DC!! Bado kuna nafasi zilizo wazi !
Tatizo ulikimbia umandeHa ha haaaaaaaaa
Ningekuwa wa Lumumba ungeshanitambua huko mitaani kwa kuwanyoosha na utendaji mzuri.. eeeh
Mimi niko kivyangu humu JF.. mimi na nyie humu humu.. siku hizi nawaona mmehishiwa porojo zenu kwa sana.. mnalialia tu kwa kuwa na viongozi wanafuja tu pesa
Tatizo ulikimbia umande
Ungejitahidi angalau kufika form 4 leo ungekuwa hata dc.
We wenzako walikuwa wakijipinda kusoma we kazi yako kukaa benchi la mwisho darasani kusutana.