Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,887
- 32,284
Wanabodi.
Makada wawili wa Chadema Wiliyani Arusha wameweka bayana nia yao kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha kutaka kumrithi Godbless Lema aliyevuliwa ubunge huo na Mahakama.
Wakati Lema akiangaika na maandamano Arusha, Wananchama hao Brighton Mushi na Victor Njau watafanya hivyo endapo rufaa iliyowasilishwa mahakamani na chama hicho kutupiliwa mbali.
Uamuzi wa makada hao unafanya idadi ya wananchama wa Chadema walioonyesha ni ya kumrithi Lema kufikia saba.
1. Efatha Nanyaro
2. Calist Lazaro
3. Derick Magoma
4. Albert Msando
5. Victor Njau
6. Samson Mwigamba
7. Brighton Mushi
Mkurugenzi wa Horizon Group Mushi, alisema msimamo wangu uko pale pale haujabadilika wa kugombea ubunge.
Source: Jamaa zangu wa Chadema Arusha.
Makada wawili wa Chadema Wiliyani Arusha wameweka bayana nia yao kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha kutaka kumrithi Godbless Lema aliyevuliwa ubunge huo na Mahakama.
Wakati Lema akiangaika na maandamano Arusha, Wananchama hao Brighton Mushi na Victor Njau watafanya hivyo endapo rufaa iliyowasilishwa mahakamani na chama hicho kutupiliwa mbali.
Uamuzi wa makada hao unafanya idadi ya wananchama wa Chadema walioonyesha ni ya kumrithi Lema kufikia saba.
1. Efatha Nanyaro
2. Calist Lazaro
3. Derick Magoma
4. Albert Msando
5. Victor Njau
6. Samson Mwigamba
7. Brighton Mushi
Mkurugenzi wa Horizon Group Mushi, alisema msimamo wangu uko pale pale haujabadilika wa kugombea ubunge.
Source: Jamaa zangu wa Chadema Arusha.