johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,541
Katika kitu ambacho tangu awali nilijua kitakuja kutia doa nia nzuri ya serikali ya awamu ya 5 ni uteuzi wa makada wa CCM kuwa watumishi wa serikali.
Duniani kote sifa kuu za mwanasiasa ni ghiliba, unafiki na dhuluma hivyo unavyompa uded kada wa chama cha siasa ni lazima utegemee kukutana na hayo anayokutana nayo mh Waziri mkuu Majaliwa katika ziara zake za mikoani
Hebu fikiria katika jimbo la Waziri wa mambo ya ndani mstaafu Dr Mwigulu Nchemba wanaume wamefisadi zaidi ya sh 400 mil za ujenzi wa Zahanati.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Duniani kote sifa kuu za mwanasiasa ni ghiliba, unafiki na dhuluma hivyo unavyompa uded kada wa chama cha siasa ni lazima utegemee kukutana na hayo anayokutana nayo mh Waziri mkuu Majaliwa katika ziara zake za mikoani
Hebu fikiria katika jimbo la Waziri wa mambo ya ndani mstaafu Dr Mwigulu Nchemba wanaume wamefisadi zaidi ya sh 400 mil za ujenzi wa Zahanati.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!