Tunasifia Mandela kutibiwa na kufia South Africa.
Unfortunately wengi wenye akili timamu tunaregret Mwalimu Nyerere kufia St Thomas hospital ,maana ilikuwa propaganda nzuri ya Waingereza kwamba 1961 walitupa uhuru,still mpaka leo viongozi wetu wanatibiwa UK
Diria alifia Ujerumani,Amir Jamal, Canada, yule wa fedha wakati wa Mkapa ,Dr Balali ,USA .
Malecela alifanyiwa operation top private hospital ya Wellington,na Msuya alisafiri mwaka huu kwa matibabu zaidi.
Achilia mbali mtoto wa mkulima
Pamoja na udhalimu wa makaburu,wao walisema South Africa ni nchi yao,tofauti na Waingereza ambao popote walikwenda walikuwa ni kuiba na kupeleka kwao.Ndio maana wallijenga nchi ,kwa kutumia raslimali .
Leo kuna high class education,infrastucture na strong judiciary.Free media ipo vizuri huta sikia design ya matukio ya Kibanda Mwangosi etc
Ndio maana wenye uwezo hapa Bongo wanakwend Milpark hospital ,part ya Netcare hospital group.
Tunasikia Mgimwa yuko huko,so Kibanda na Marehemu Dr Mvungi alitibiwa huko
Jiulize kwa nini hawaendi Nigeria,Ghana,Angola au Zambia?
Kwa vijana wa sasa muelewe kuwa operation ya kwanza ya moyo ilifanyika South Africa chini ya mkaburu Dr Christiaan Barnad!Ndio muelewe uwezo wa mkaburu.
Mkaburu anaregret what happened during apartheid,ila mchango wao kwenye South Africa hautasaulika.
Unfortunately wengi wenye akili timamu tunaregret Mwalimu Nyerere kufia St Thomas hospital ,maana ilikuwa propaganda nzuri ya Waingereza kwamba 1961 walitupa uhuru,still mpaka leo viongozi wetu wanatibiwa UK
Diria alifia Ujerumani,Amir Jamal, Canada, yule wa fedha wakati wa Mkapa ,Dr Balali ,USA .
Malecela alifanyiwa operation top private hospital ya Wellington,na Msuya alisafiri mwaka huu kwa matibabu zaidi.
Achilia mbali mtoto wa mkulima
Pamoja na udhalimu wa makaburu,wao walisema South Africa ni nchi yao,tofauti na Waingereza ambao popote walikwenda walikuwa ni kuiba na kupeleka kwao.Ndio maana wallijenga nchi ,kwa kutumia raslimali .
Leo kuna high class education,infrastucture na strong judiciary.Free media ipo vizuri huta sikia design ya matukio ya Kibanda Mwangosi etc
Ndio maana wenye uwezo hapa Bongo wanakwend Milpark hospital ,part ya Netcare hospital group.
Tunasikia Mgimwa yuko huko,so Kibanda na Marehemu Dr Mvungi alitibiwa huko
Jiulize kwa nini hawaendi Nigeria,Ghana,Angola au Zambia?
Kwa vijana wa sasa muelewe kuwa operation ya kwanza ya moyo ilifanyika South Africa chini ya mkaburu Dr Christiaan Barnad!Ndio muelewe uwezo wa mkaburu.
Mkaburu anaregret what happened during apartheid,ila mchango wao kwenye South Africa hautasaulika.