Makaburi ya Ma-Don na wauza unga wa Mexico

Kwanza lazima utambue kuwa kama kuna kundi hatari duniani kwa ukatili, ubabe na utajiri basi ni makundi ya wauza unga... Hawa ni zaidi ya makundi ya kimafia na kigaidi
Makundi haya huwa na himaya zao na humiliki njia za kupitisha mizigo na huwekeana mipaka... Ole wako ujaribu kuingia kwenye himaya ya mwingine kama huna nguvu hasa...
Makundi haya himaya zao huwa na uongozi kamili na majeshi yake... Yakijumuisha
Walinzi wa mkuu wa himaya
Walinzi wa viongozi wengine
Walinzi wa familia za wanahimaya
Watekaji
Watesaji
Wauaji
Walinda mizigo
Wasafirisha mizigo
Wapokea pesa na wabebaji
Biashara zao hufanyika kwa fedha taslimu na chini ya ulinzi mkali kwa kila upande... Usipokuwa makini na imara unaweza ukapeleka mzigo na ukaishia kifo ama ukalipa pesa lakini usipewe mzigo... Ni biashara za kibabe na kutoamiana kwa asilimia mia moja...
Wauza unga hawa wana kanuni moja isiyopindishwa na yoyote USALITI NA KUTOA SIRI... Adhabu yake huwa ni moja tuu kifo cha kikatili na mateso makali mno..!!!
Kanuni zao nyingine ni umakini, wepesi wa kutenda, ukamilifu na uthubutu... Wanaamini katika kupata kila kitu bora kuliko mwingine yoyote
Madon hawa wauza unga wanajifahamu hawana maisha mengi... Hivyo hupenda kutengeneza pesa ndefu kwa muda mfupi na kuishi maisha ya kifahari kadiri wawezavyo... Kifo cha risasi moja huwa cha kujivunia zaidi kuliko kukamatwa na makundi pinzani na kuteswa hadi kufa... Huu ni udhalilishaji mkubwa... Hawaogopi kabisa kukamatwa na serikali
Kwa kuzingatia legacy yao hiyo hupenda hata mazishi yao na makaburi yao kila kitu kiwe cha first class ili wabaki kukumbukwa vizazi na vizazi...
Makaburi yao huwa ya gharama hasa...
Ni makaburi ya nyota tano
Ni makaburi ya ghorofa yenye
Madirisha yasiyopenyeza risasi
Yenye viyoyozi
Yenye satellite TV
Hii yote ni kuonesha nguvu na mamlaka
Kwa sasa anayewika ni mfalme Joacqim Rl-chapo Guzman wa jimbo la Sinaloa..

Nitarejea
Kwenye mji anaotokea huyu bingwa wa sasa ndio kuna makaburi ya kufuru... Ni makaburi yanayojulikana kama makaburi ya nyota tano.. Haya makaburi yana taa automatic zinazowaka masaa 24.. Kama nilivyosema awali security camera hazikosekani masaa yote na hata kama umeme ukikatika kuna backup ya solar... Baadhi ya makaburi huwa na lounge na makanisa madogo ndani yake... Vyumba maalum ambavyo vyote ni VIP kwa ajili ya wageni... Na mengine huwa na mpaka miti ya Christmas majira yake yanapowadia....

Kitu cha kushangaza kwenye haya makaburi ni kwamba hayaandikwi majina ya marehemu wake... Wala utambulisho wowote... Ni wahudumu wake ndio wenye kufahamu tuu ... Kwahiyo ukienda kichwa kichwa unaweza usirudi....

Asilimia 90 ya wa Mexico ni wakatoliki.... Na mmojawapo wa malaika wanaoheshimika na kuabudiwa sana ni Santa mareta ama malaika wa kifo... Huyu huabudiwa na kuheshimiwa sana mpaka na hawa wazungu wa unga... Wao huamini kuwa malaika huyu wa kifo ana nguvu kuliko malaika wengine wote....

Hii ndio orodha ya top five ya wazungu wa unga waliovuma zaidi..

1. Joaquin Guzman (JO)
2. Pablo Escober 1949- 1993
3. Frank Lucas 1930- 2019
4. Ismai Zambaga Garcia
5. Amado Carrilo Fueten
Halafu kuna mwanamama pekee Griselda Blanco....

*Makala ijayo tutawachambua hawa kwa undani
Griselda blanco akifahamika kama The Godmother of cocaine
 
Kwanza lazima utambue kuwa kama kuna kundi hatari duniani kwa ukatili, ubabe na utajiri basi ni makundi ya wauza unga... Hawa ni zaidi ya makundi ya kimafia na kigaidi
Makundi haya huwa na himaya zao na humiliki njia za kupitisha mizigo na huwekeana mipaka... Ole wako ujaribu kuingia kwenye himaya ya mwingine kama huna nguvu hasa...
Makundi haya himaya zao huwa na uongozi kamili na majeshi yake... Yakijumuisha
Walinzi wa mkuu wa himaya
Walinzi wa viongozi wengine
Walinzi wa familia za wanahimaya
Watekaji
Watesaji
Wauaji
Walinda mizigo
Wasafirisha mizigo
Wapokea pesa na wabebaji
Biashara zao hufanyika kwa fedha taslimu na chini ya ulinzi mkali kwa kila upande... Usipokuwa makini na imara unaweza ukapeleka mzigo na ukaishia kifo ama ukalipa pesa lakini usipewe mzigo... Ni biashara za kibabe na kutoamiana kwa asilimia mia moja...
Wauza unga hawa wana kanuni moja isiyopindishwa na yoyote USALITI NA KUTOA SIRI... Adhabu yake huwa ni moja tuu kifo cha kikatili na mateso makali mno..!!!
Kanuni zao nyingine ni umakini, wepesi wa kutenda, ukamilifu na uthubutu... Wanaamini katika kupata kila kitu bora kuliko mwingine yoyote
Madon hawa wauza unga wanajifahamu hawana maisha mengi... Hivyo hupenda kutengeneza pesa ndefu kwa muda mfupi na kuishi maisha ya kifahari kadiri wawezavyo... Kifo cha risasi moja huwa cha kujivunia zaidi kuliko kukamatwa na makundi pinzani na kuteswa hadi kufa... Huu ni udhalilishaji mkubwa... Hawaogopi kabisa kukamatwa na serikali
Kwa kuzingatia legacy yao hiyo hupenda hata mazishi yao na makaburi yao kila kitu kiwe cha first class ili wabaki kukumbukwa vizazi na vizazi...
Makaburi yao huwa ya gharama hasa...
Ni makaburi ya nyota tano
Ni makaburi ya ghorofa yenye
Madirisha yasiyopenyeza risasi
Yenye viyoyozi
Yenye satellite TV
Hii yote ni kuonesha nguvu na mamlaka
Kwa sasa anayewika ni mfalme Joacqim Rl-chapo Guzman wa jimbo la Sinaloa..

Nitarejea
Kwenye mji anaotokea huyu bingwa wa sasa ndio kuna makaburi ya kufuru... Ni makaburi yanayojulikana kama makaburi ya nyota tano.. Haya makaburi yana taa automatic zinazowaka masaa 24.. Kama nilivyosema awali security camera hazikosekani masaa yote na hata kama umeme ukikatika kuna backup ya solar... Baadhi ya makaburi huwa na lounge na makanisa madogo ndani yake... Vyumba maalum ambavyo vyote ni VIP kwa ajili ya wageni... Na mengine huwa na mpaka miti ya Christmas majira yake yanapowadia....

Kitu cha kushangaza kwenye haya makaburi ni kwamba hayaandikwi majina ya marehemu wake... Wala utambulisho wowote... Ni wahudumu wake ndio wenye kufahamu tuu ... Kwahiyo ukienda kichwa kichwa unaweza usirudi....

Asilimia 90 ya wa Mexico ni wakatoliki.... Na mmojawapo wa malaika wanaoheshimika na kuabudiwa sana ni Santa mareta ama malaika wa kifo... Huyu huabudiwa na kuheshimiwa sana mpaka na hawa wazungu wa unga... Wao huamini kuwa malaika huyu wa kifo ana nguvu kuliko malaika wengine wote....

Hii ndio orodha ya top five ya wazungu wa unga waliovuma zaidi..

1. Joaquin Guzman (JO)
2. Pablo Escober 1949- 1993
3. Frank Lucas 1930- 2019
4. Ismai Zambaga Garcia
5. Amado Carrilo Fueten
Halafu kuna mwanamama pekee Griselda Blanco....

*Makala ijayo tutawachambua hawa kwa undani
Mkuu ukirudi usisahau kunitag
 
Chanzo ndio kilionesha hivyo
tatizo cyo mcolombia hapo, elewa kuwa kulikuwa/kuna connection/network ya drug lords ktk kupata mzigo na market place. asilimia kubwa soko lilikuwa marekani, ndio sbb haishangazi border la mexico na usa lime tumika sana na hata madrug lord kufa na kuzikwa mexico maana iko katikati on the route to usa.
 
tatizo cyo mcolombia hapo, elewa kuwa kulikuwa/kuna connection/network ya drug lords ktk kupata mzigo na market place. asilimia kubwa soko lilikuwa marekani, ndio sbb haishangazi border la mexico na usa lime tumika sana na hata madrug lord kufa na kuzikwa mexico maana iko katikati on the route to usa.
Ooh thanks
 
Taja jina la muvi
Griselda Blanco aka the godmother
Ndo alianzisha style ya kuua maarufu Kwa jina la drive-by shooting... style aliobuni ndo walotumia kumuulia.
Kuna muvi inaelezea stori yake imeigizwa na mwanamama Catherine Zeta Jones
 
Kwanza lazima utambue kuwa kama kuna kundi hatari duniani kwa ukatili, ubabe na utajiri basi ni makundi ya wauza unga... Hawa ni zaidi ya makundi ya kimafia na kigaidi
Makundi haya huwa na himaya zao na humiliki njia za kupitisha mizigo na huwekeana mipaka... Ole wako ujaribu kuingia kwenye himaya ya mwingine kama huna nguvu hasa...
Makundi haya himaya zao huwa na uongozi kamili na majeshi yake... Yakijumuisha
Walinzi wa mkuu wa himaya
Walinzi wa viongozi wengine
Walinzi wa familia za wanahimaya
Watekaji
Watesaji
Wauaji
Walinda mizigo
Wasafirisha mizigo
Wapokea pesa na wabebaji
Biashara zao hufanyika kwa fedha taslimu na chini ya ulinzi mkali kwa kila upande... Usipokuwa makini na imara unaweza ukapeleka mzigo na ukaishia kifo ama ukalipa pesa lakini usipewe mzigo... Ni biashara za kibabe na kutoamiana kwa asilimia mia moja...
Wauza unga hawa wana kanuni moja isiyopindishwa na yoyote USALITI NA KUTOA SIRI... Adhabu yake huwa ni moja tuu kifo cha kikatili na mateso makali mno..!!!
Kanuni zao nyingine ni umakini, wepesi wa kutenda, ukamilifu na uthubutu... Wanaamini katika kupata kila kitu bora kuliko mwingine yoyote
Madon hawa wauza unga wanajifahamu hawana maisha mengi... Hivyo hupenda kutengeneza pesa ndefu kwa muda mfupi na kuishi maisha ya kifahari kadiri wawezavyo... Kifo cha risasi moja huwa cha kujivunia zaidi kuliko kukamatwa na makundi pinzani na kuteswa hadi kufa... Huu ni udhalilishaji mkubwa... Hawaogopi kabisa kukamatwa na serikali
Kwa kuzingatia legacy yao hiyo hupenda hata mazishi yao na makaburi yao kila kitu kiwe cha first class ili wabaki kukumbukwa vizazi na vizazi...
Makaburi yao huwa ya gharama hasa...
Ni makaburi ya nyota tano
Ni makaburi ya ghorofa yenye
Madirisha yasiyopenyeza risasi
Yenye viyoyozi
Yenye satellite TV
Hii yote ni kuonesha nguvu na mamlaka
Kwa sasa anayewika ni mfalme Joacqim Rl-chapo Guzman wa jimbo la Sinaloa..

Nitarejea
Kwenye mji anaotokea huyu bingwa wa sasa ndio kuna makaburi ya kufuru... Ni makaburi yanayojulikana kama makaburi ya nyota tano.. Haya makaburi yana taa automatic zinazowaka masaa 24.. Kama nilivyosema awali security camera hazikosekani masaa yote na hata kama umeme ukikatika kuna backup ya solar... Baadhi ya makaburi huwa na lounge na makanisa madogo ndani yake... Vyumba maalum ambavyo vyote ni VIP kwa ajili ya wageni... Na mengine huwa na mpaka miti ya Christmas majira yake yanapowadia....

Kitu cha kushangaza kwenye haya makaburi ni kwamba hayaandikwi majina ya marehemu wake... Wala utambulisho wowote... Ni wahudumu wake ndio wenye kufahamu tuu ... Kwahiyo ukienda kichwa kichwa unaweza usirudi....

Asilimia 90 ya wa Mexico ni wakatoliki.... Na mmojawapo wa malaika wanaoheshimika na kuabudiwa sana ni Santa mareta ama malaika wa kifo... Huyu huabudiwa na kuheshimiwa sana mpaka na hawa wazungu wa unga... Wao huamini kuwa malaika huyu wa kifo ana nguvu kuliko malaika wengine wote....

Hii ndio orodha ya top five ya wazungu wa unga waliovuma zaidi..

1. Joaquin Guzman (JO)
2. Pablo Escober 1949- 1993
3. Frank Lucas 1930- 2019
4. Ismai Zambaga Garcia
5. Amado Carrilo Fueten
Halafu kuna mwanamama pekee Griselda Blanco....

*Makala ijayo tutawachambua hawa kwa undani
Escobar naye ni mmexico?
 
Wakuu nao wamo
IMG-20190928-WA0014.jpeg
View attachment 1218352
IMG-20190928-WA0016.jpeg
IMG-20190928-WA0010.jpeg
IMG-20190928-WA0012.jpeg
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom