fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,309
- 2,719
Ok
Sijui mleta mada ni Diaspora?Kwani hujui kwamba Chenge ni msukuma?
kwa mwanamke umri wa kidoti tena kapitia vyuo vya elimu ya juu mbona hao wachache sana waliopita naye?,fanya uchunguzi kwa mabint wa dunia ya sasa wanavyofukia mashimoJokate mwenye picha za uchi mitandaoni ,kapigwa mashine na Hashim thabit,Diamond,AY,Jux,Dogo Jbnga eti kazawadiwa ukuu wa wilaya,Yesu tuokoe
Ficha upumbavu wako, anika busara zako.Nyinyi ni mijitu mijinga sana walahi!
Yaani baada ya kukaa na kutafuta maendeleo eti mnakwenda kufufua makaburi, pathetic DNA kwa kweli, hakika hapo mlipo mmvaa kibwebwe cha msutano kwa sababu ndio kazi yenyewe mnayo iweza, pathetics characters walahi!
Endeleeni kuvaa VIBWEBWE NA UMASKINI WENU WA MILELE WALAHI!
MAJITU MAZIMA OVYO KABISA walahi
Takukuru wamebobea kwenye kukamata wahadhiri wanaongonoka na wanafunzi waoKulikuwa hakuna haja ya kufungua mahakama ya mafisadi au kuunda Takukuru ni kupoteza fedha za wananchi bure.Vyombo vya polisi na mahakama za kawaida vinauwezo mkubwa wa kushughukia maswala haya kama zamani.
Iliwahi kubainika huko India waliwahi kuunda anticorruption squard sita za kuchunguzana lakini waliangukia patupu.
Takukuru haijawahi kushinda kesi yenye mashiko wala mahakama ya hujumu uchumi ni kama haipati wateja.
Kwa maoni yangu hizo taasisi mbili zilianzishwa na hao wanasiasa kuwalaghai wananchi kuwa serikali inayashughulikia kwa nguvu zake zote.Wajinga ndio waliwao.
kwasababu anapenda mziki wa diamondi na pombe na kubet kwann asisahauIle ya kumwaga unga bungeni je!? Matanzania ni masahaulifu sana.