goloko hata nie nyonelaDah nimeona wakaguru nimefurahi sana
Pia wapo kandokando ya ziwa Nyasa kuna sehemu inaitwa Manda. Mila na tamaduni zinafanana sana na Wangoni, Wamatengo, Wampoto. Wote hao ni kutoka mkoa wa Ruvuma. Ngoma yao kubwa ya asili ni Kihoda/Chihoda kama sijakosea.Wamanda kwao Ludewa, sampo zao ni hawa akina Mtikila(RIP), sina hakika na Kolimba(RIP). Hayo mengine watakwambia wengine.
Wakisi au lipi mkuu41 Hilo Siyo Kabila Mmebugi