Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
- Thread starter
- #21
hahahaaah!! Ya mwisho, nipe ya wafipa...
hahahaa! mkuu Katavi: Tukiweka ya Wafipa huoni tutakuwa tuna mwaga kuku wengi kwenye mchele kidogo? Pinda ataandamana!
hahahaaah!! Ya mwisho, nipe ya wafipa...
Acha uongo sema tu hujui..hahahaa! mkuu Katavi: Tukiweka ya Wafipa huoni tutakuwa tuna mwaga kuku wengi kwenye mchele kidogo? Pinda ataandamana!
Naanza na Kabila hili. Lipo Nyanda za juu Kusini mwa Tanzania. Ni kabila kubwa lenye kusifika kwa wema pia ukarimu. Wanamsemo huu: Mwana gwa nino jope gwako. Linga ndume kwa nino jope gwako! Tafsiri isiyo rasmi: Mtoto wa mwenzio ni wako. Pia mume wa mwenzio ni wako vilevile. (Kweli upendo haujasebu ubaya hapo eti?).Jadili.
Acha uongo sema tu hujui..
Mh!! Mume wa mwenzio mumeo kwa mambo kama hayo ukimwi utaisha kweli?
Mh kwa hapa lugha yangu mgogoro