Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wabunge/Viongozi wa makabila haya wameshindwa kutoa leadership kabisa katika maendeleo ya Taifa letu .
Makabila haya sio siri ni Wasukuma,Wanyamwezi,Wachaga,Wahaya na Wanyakyusa.

Na jiuliza kwa nini tusiwe na akina SLAA katika makabila haya?Watu wenye uchungu na poverty ya nchi ,wenye uchungu na ufisadi?Assume tungekuwa na design ya SLAA wawili katika kila makabila haya!!!!!!Sasa SLAA amesimama peke yake,mzigo ni mkubwa sana.
Wengi ni mamluki tu.

Mpaka pale haya makabila yatakapotea leadership ,tutabaki hivyo hivyo milele.
 
unaposema makabila makubwa unamaana gani..? criteria s gani umeangalia mpaka unasema hili ni kabila kubwa!...
 
mbona akila mwakyembe wamepigania mpaka akina lowasa wapo hoi?.....hao sio wanyakyusa............lkn naona sio vizuri kuhusisha swala la dr.slaa na mambo ya makabila........tumjadili slaa tumwelezee nas kumkubali kwa uwezo wake ...tupo pamoja naye mpaka ukamilifu wa dahari..
 
Babas wa Taifa aliliona hilo kwa kusema kuwa kabila kubwa likiongoza basi makabila madogo yatakosa pa kuumulia, na ndio maana waongoza nchi ni vijikabila vidogo kama wakwere, angalia zanzibar ni kitu kimekuwa kikifanyika kwa muda mrefu.

Hili linaweza kuwa na ukweli kama alivyowaza JK ze Wise (Baba wa Taifa), kwasababu sasa hivi ukienda ofisi ambayo mkuu wake anatoka katika haya makabila yaitwayo makubwa, basi utakuta mpaka messanger(Communication assistant), mlinzi, mpishi ni wa kabila yake.
 
kabila la wambulu likishirikiana na la Wambowe(ndio lipi vile?) limetoa viongozi wa kusifika

bravo
 
mbona akila mwakyembe wamepigania mpaka akina lowasa wapo hoi?.....hao sio wanyakyusa............lkn naona sio vizuri kuhusisha swala la dr.slaa na mambo ya makabila........tumjadili slaa tumwelezee nas kumkubali kwa uwezo wake ...tupo pamoja naye mpaka ukamilifu wa dahari..


Lakini Mwakyembe bado yuko CCM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Ni sawa na Mengi anasema kuhusu Fisadi Papa,lakini bado yuko kwenye kundi hilo hilo,SISIEM
 
Babas wa Taifa aliliona hilo kwa kusema kuwa kabila kubwa likiongoza basi makabila madogo yatakosa pa kuumulia, na ndio maana waongoza nchi ni vijikabila vidogo kama wakwere, angalia zanzibar ni kitu kimekuwa kikifanyika kwa muda mrefu.

Hili linaweza kuwa na ukweli kama alivyowaza JK ze Wise (Baba wa Taifa), kwasababu sasa hivi ukienda ofisi ambayo mkuu wake anatoka katika haya makabila yaitwayo makubwa, basi utakuta mpaka messanger(Communication assistant), mlinzi, mpishi ni wa kabila yake.

Tangi lini Mmakonde(MIMI) au Mkwere anapenda maendeleo?
Ni watu wa chini tu
 
Pwani ndio kuna makabila makubwa! imefika kipindi watu pwani tukamate nchi!.. watu wengi wa bara ni walarushwa!... nikisema pwani simaanishi visiwani "zenji"!! dar, tanga, kilwa.. na mikoa mingine ya pwani! iliyo malizwa nguvu makusudi na watu wa BARA! kwanza itabidi tujitengei! :becky:
 
Kwa nini jukumu la uongozi liwe la makabila makubwa tu ? Huoni kama hili linaleta ukabila ?
 
Pwani ndio kuna makabila makubwa! imefika kipindi watu pwani tukamate nchi!.. watu wengi wa bara ni walarushwa!... nikisema pwani simaanishi visiwani "zenji"!! dar, tanga, kilwa.. na mikoa mingine ya pwani! iliyo malizwa nguvu makusudi na watu wa BARA! kwanza itabidi tujitengei! :becky:

Zenji,Tanga,Kilwa Dar kuna resources gani?Mshukuru watu wa bara kuja kujenga huko.
Mdigo ana maendeleo gani.
 
Kwa nini jukumu la uongozi liwe la makabila makubwa tu ? Huoni kama hili linaleta ukabila ?


Ndiyo hayo .Ukisema Mhindi analeta rushwa,unasema kuwa huo ni UBAGUZI wa rangi.
Thread ilikuwa inasema kuwa Makabila haya yameshindwa kutoa leadership kuikomboa nchi hii kutoka katika poverty na ufisadi.Na haya makabila yana resources nyingi ukumbuke

Nikasema makabila haya hayana akina watu kama SLAA.Nampongeza SLAA(ambaye ametoka kabila dogo) na kupigania maslahi ya nchi.





N
 
Ya Ukabila Yameanza????, Ukabila unanafasi gani katika Uongozi!, hili lisizungumzwe hadharani.
 
"Ni heri uwe na dini lakini usiaathiriwe na virusi vya udini, na ni afadhali mara elfu uwe na kabila lako ili kujua namna ya kufanya matambiko yenu na kujua watani wako ni makabila gani kuliko kuwa na hisia na kuwa mkabila" alisema Mwalimu Julius Nyerere katika maisha yake.
 
Pwani ndio kuna makabila makubwa! imefika kipindi watu pwani tukamate nchi!.. watu wengi wa bara ni walarushwa!... nikisema pwani simaanishi visiwani "zenji"!! dar, tanga, kilwa.. na mikoa mingine ya pwani! iliyo malizwa nguvu makusudi na watu wa BARA! kwanza itabidi tujitengei! :becky:

UKITAKA KULETA UKABILA KWENYE UONGOZI UTAPOTE KABISAAAA, TATIZO LA WATU WA PWANI WABABAISHAJI, LESS SERIOUS, UNEDUCATED NA WANARIZIKA NA MAFANIKIO KIDOGO TU WALIYONAYO HATA KAMA HAYAJALETA TIJA KWAO.eg JK, MAJORITY YA VIONGOZI WA CCM SINCE UHURU TO DATE NI WATU WA PWANI, WHAT HAVE THEY DONE TO US??????? NA KWA CCM YENYEWE???????/

HAPA TATIZO SIO KABILA TATIZO NI NANI ANAYAENDESHA HAYO MAKIBILA(MY OPINION `CCM`) WAPO WATU KAMA WAKINA MREMA(ALIYATONGA), MWAKEMBE, KIMARO wamejitahidi lakini MAMA yao (ccm) imewanyamazisha na kuwaona kama maadui badala ya mashujaa.



``ukikaa na mwizi lazima utakuwa mwizi``
 
I hate this thread...........mods should not have even let it fly like this.
What's the difference between the initiator of this thread and the (rightly) banned MS then??
 
Sithan kama tunajenga tukianza swala la ukabila leo hii jaman tuepuke tutafikia sehemu tunangalia kabila gan linafaa kutuongoza eg Rwanda
 
Ndiyo hayo .Ukisema Mhindi analeta rushwa,unasema kuwa huo ni UBAGUZI wa rangi.
Thread ilikuwa inasema kuwa Makabila haya yameshindwa kutoa leadership kuikomboa nchi hii kutoka katika poverty na ufisadi.Na haya makabila yana resources nyingi ukumbuke

Nikasema makabila haya hayana akina watu kama SLAA.Nampongeza SLAA(ambaye ametoka kabila dogo) na kupigania maslahi ya nchi.





N

Kwa hiyo kabila likiwa kubwa ndiyo linatoa kiongozi bora? Kuna mlinganyo gani kati ya ukubwa wa kabila na uongozi bora?
 
Wabunge/Viongozi wa makabila haya wameshindwa kutoa leadership kabisa katika maendeleo ya Taifa letu .
Makabila haya sio siri ni Wasukuma,Wanyamwezi,Wachaga,Wahaya na Wanyakyusa.

Na jiuliza kwa nini tusiwe na akina SLAA katika makabila haya?Watu wenye uchungu na poverty ya nchi ,wenye uchungu na ufisadi?Assume tungekuwa na design ya SLAA wawili katika kila makabila haya!!!!!!Sasa SLAA amesimama peke yake,mzigo ni mkubwa sana.
Wengi ni mamluki tu.

Mpaka pale haya makabila yatakapotea leadership ,tutabaki hivyo hivyo milele.
CCM iliwafanya Wasukuma kuwa wajinga...mfano kuna kipindi mkoa mzima ulikuwa na shule zisizo zidi 10 sasa hapo unategemea nini?...lakini kuna sehemu (bariadi kwenye jibo na John Sheyo) wameichoka CCM baada ya kufisadi na kina Edward na Paul aka Rehema ya Mungu kupitia Shirecu...
 
CCM iliwafanya Wasukuma kuwa wajinga...mfano kuna kipindi mkoa mzima ulikuwa na shule zisizo zidi 10 sasa hapo unategemea nini?...lakini kuna sehemu (bariadi kwenye jibo na John Sheyo) wameichoka CCM baada ya kufisadi na kina Edward na Paul aka Rehema ya Mungu kupitia Shirecu...


Unawasema hawa ni Wanyatunzu,ambao wao ni pesa tu.Kina Cheyo,Vijisenti na hawa akina Rehema ya Mungu ni watu wa Bariadi.
 
Back
Top Bottom