Mkuu mimi nipo tayari kwa mkataba Elfu 10 kila siku lakini iwe miezi 11 na sio 12 kama upo tayar tuwasiliane mimi nipo MbagalaNinaomba kufahamu utaratibu wa kukabidhiana pikipiki kwa mkataba.
Nimenunua kapikipiki sasa nahitaji kumkabidhi bodaboda ni utaratibu upi wa kufuatwa lengo likiwa baada ya kurejesha kwa Muda kadhaa pikipiki inakuwa yakwake ahsanteni na karibu wajuzi wa mambo
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app