tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Africa Rais wa Rwanda Mhe Paul Kagame akimkabidhi kijiti cha uwenyekiti Rais wa Misri Mhe Abdel Fattah al-Sisi kwa kipindi cha 2019 -2020 katika mkutano unaendelea huko Ethiopia ambapo Tanzania imewakilishwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa.