Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,337
- 51,858
- Thread starter
- #21
Kwa GMO mchungwa unaweza kuzaa limao na mlimao unaweza kuzaa mchungwa.
The same to real life mtoto anaweza kutokea kwenye familia ya walevi na asiwe mlevi. Vice versa is true
Mtoto anaweza kutokea kwenye familia ya umalaya lakini yeye akawa mcha Mungu kweli kweli. Vice versa is true
Mwisho wa siku, Maisha ni wewe mwenyewe ukichagua mabaya utavuna mabaya na ukichagua mazuri utavuna mazuri.
Exceptionalism unaijua Mkuu
Hiyo nimeshaeleza ni moja kwa kumi