Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Hujawahi kuchapiwa?Ninamajuto mengi sana nilio yajutia baada ya kufanya kutokana na kuoelekwa na hisia za mwili kuliko kifikiria.
1st Niliwahi kumpenda mdada flani hivi vibaya sana nilikuwa namuonga sanaaa kwa kujua kuwa ni wangu peke yangu ila alinipiga chini nikalia kama mtoto mpaka leo sijawahi kupenda kabisaaa napiga tu.
2rd Niliwahi kuuza game kwa demu mmoja nilimwamini tu gafla nikaona nimefika daah aliniachia ka gono nashukuru niliwai kujitibu mana kwa muonekano wake na uzuri wake hakuwa na anafananian kabisaaa.
Hebu tupeane visa vilivyo tukuta katika huba na ulimwengu wa wapendanao.
Hujawahi kubambikiwa mimba?
Hujawahi kufumaniwa?
Hujawahi kuchomeshwa mahindi?
Hujawahi kupewa namba ya mochwari?
Hujawahi kuliwa nauli?
Wee bado sana ndio kwanza uko la kwanza