nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,331
- 8,112
una uhakika mkuu?Si kweli simu za line mbili huwa na imei mbili, na Samsung, yanayo simu original na hata tecno na nyingine nyingi na bado zinafanya kazi, naona wewe mtalamu fake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una uhakika mkuu?Si kweli simu za line mbili huwa na imei mbili, na Samsung, yanayo simu original na hata tecno na nyingine nyingi na bado zinafanya kazi, naona wewe mtalamu fake
Yes dual sim 1000% original imei mbili kwa ajili ya network registration na serial moja to identify handsetuna uhakika mkuu?
ok basi ulikosea hapo juu umeandika dual sim zinakua na imei moja..angalia vizuriYes dual sim 1000% original imei mbili kwa ajili ya network registration na serial moja to identify handset
Nimekusoma vizuri, ili simu iweze kufanya kazi inahitaji vitu vingi ili iweze kuregister katika Network ya SP ni lazima iwe na number ya utambulisho wa toleo(S/N, Model Name (mfano samsung) Product Code, Manufacture id, aina ya Band (900/1800/1900) ambapo kuna dual band , Tri-band na Quardband ndipo uweza kuwa hewani, Serial number kazi yake ni utambulisho wa chesis ya simu, iliyobeba kila kitu. Hivyo basi kama utambulisho wa chesis no. na baseband zikawa Null, Invalid simu hiyo haiwezi kufanya kazi, kwani imekiuka mikataba ya FCC, usiwadanganye watu kuwa Haina maana kwani wakati ukiwa umefanya kosa wakati wa kukutrack angalia wenzetu walio na iphone mfano.
IMEI: 013048001704356
Original Serial: DNQH4MVFDTC0
Network: Global
Activated: Yes
Contract Status: Unknown
AppleCare Protection: No
Telephone Technical Support: Expired
Repairs & Service Coverage: Expired
Purchase Country: UK
Purchase Date: February 23, 2012
Sold To: ORANGE PERSONAL COMMUNICATIONS
Carrier: 302 - UK TMobile Orange.
Factory Simlock: Locked
Carrier Last Update: 2015-04-09 20:35:44
Find My iPhone: OFF
SIM Lock: Locked
Ukichukua serial Number ukaiseach inakuletea taarifa zote za simu na mtumiaji alipo, hivyo basi ili kuweka kumbu kumbu mzuri, haiwezekani mtu unaambiwa saa fulani yupo number flani yenye serial no. fulani wakati una line mbili tofauti na umelink line mbili kwa serial number moja, kwa sababu zina option ya ku-off, au ikiwa imei moja imecorrupt na una mpango wa karibu kuitengeneza unawafanya washinde kukutrack, lengo linakuwa halijatimia.
unaweza kama zinasoma serial number moja kwenye about, ebu bonyeza kwenye status nione majibu yake
Ati hii nayo itafungwa tena? Ndio nina week moja na hii tu jamani
soma hapaYes dual sim 1000% original imei mbili kwa ajili ya network registration na serial moja to identify handset
unaweza kama zinasoma serial number moja kwenye about, ebu bonyeza kwenye status nione majibu yake
simu yako iko vizuri haina S/No za kizushi
Nadhani inaweza isiwe tatizo la kufungia simu la TCRA. Siku hizi kuna kitu kinaitwa "regional lock" ambapo unatakiwa ukinunua simu uitumie kwa kuweka simcard ya eneo hilo(nchi) kwa kama dakika 5 hivi (kupiga simu au kupokea au hata kutumia internet-data). Baada ya hapo itakuwa imefunguka na unaweza kuitumia sehemu nyingine au region nyingine. Huu natolea mfano wa EU-european union countries.Kuna jamaa yangu kaletewa Huawei mpya kabisa kutoka ughaibuni imegoma kabisa hata kusoma laini. Tumejaribu kurestore lakini wapi. Nadhani na yenyewe imepitiwa na hiki kimbunga cha TCRA.
Goodsimu yako iko vizuri haina S/No za kizushi