Majukumu ya mmbongo

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637

Majukumu ya kibongo
 

Attachments

  • majukumu ya mtu mzima.bmp
    1.5 MB · Views: 169
mbongo ananikosha nini eee..............juu ya majukumu yote hayo bado ana na 'nyumba ndogo' na anatoa michango ya 'harusi na send off'!

mimi mchango wa send off sitoi na wala wa harusi..........
 
105,000/- Inatosha according 2JK.............

  1. Kodi.................25,000/= ( Mbagala au Bunju B)
  2. Umeme..............5,000/=
  3. Maji...................5,000/=
  4. Ada ya Shule.......25,000x4=100,000/=
  5. Wazee kijijini........50,000/=
  6. harusi...................20,000/=
  7. Sendoff.................20,000/=
  8. Arobaini.................20,000/=
  9. Nyumba ndogo........5,000/=
  10. Nyumba kubwa........5,000/=
  11. Bili ya maziwa..........30,000/=
  12. Nauli....1000x24.......24,000/=
Jumla ndogo......................309,000/=
Mshahara.........................115,000/=
Jumla ndogo.....194,000/=
Utadaiwa kila mwezi..........194,000/=

POLE SANA MFANYAKAZI WA TANZANIA.
 
Hapo lazima mtu chali!...usingizi hapo hupati aisee! si auze hiyo nyumba ndogo alipe bili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom