Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Picha ingepigwa full hapo chini kavaa suruali ya kitambaa bwaga na moka za 4 angles.Hizo nguo nani huwa anamshonea!
Picha ingepigwa full hapo chini kavaa suruali ya kitambaa bwaga na moka za 4 angles.Hizo nguo nani huwa anamshonea!
Ha hah hah!!Huyu mtu huwa simwelewi nguo zake ndo kubana matumizi
Wasukuma wanazaaga kama kuku sasa zee zima lina mtoto wa miezi 6
From Magogoni
Picha ingepigwa full hapo chini kavaa suruali ya kitambaa bwaga na moka za 4 angles.
Kiongozi unahisi atakuwa kwenye hayo majengo pichani nini!Nimemkumbuka ben saanane, hata sijui kwanini nimemkumbuka
Dharau zako za kijinga hazikusaidii kitu.Wasukuma ni washamba hawajui kuvaa kabisa anajiona amependeza mpaka amekubali kupigwa kweli tuna "rahisi" wa ajabu haijawahi kutokea
Mashinji naye ana roho mbaya sanaa. Angalia alivyo mweusi kama mkaa. Akikaa ofisini kwake pale Ufipa hata kamera ya flash haiwezi kumtoa sura bali meno tu.Ana roho mbaya hadi sura imekuwa nyeusi tii...
Mjukuu aisee. Kwani juzi si aliwaambia ana wajukuu wa mdogo wake ambao ni Samia na John? Au ndiyo hamuelewagi mpaka watu wasemeje?Kumbe ana mtoto mdogo hivyo.
Sikujua aisee
Angekuwa anatuona tungeishia Magereza
Mtoto kavaa tunguo twa 1000
Kuna nyingine ipo humu tena hukuiona?