Majukumu ya familia yamekuwa makubwa kuliko kipato chake, mpe ushauri

Kama unaona wewe mzazi hukufanikiwa kwenye maisha yako mpaka uko kwenye 60 -80s huko...muache mwanao naye atumie mbinu zake kutimiza ndoto zake....jukumu lako limeishia kwenye kumlea na kumsomesha...
 
Mwambie aache upumbavu,kuna watu Wana shida mara ya hizo na still wapo happy.Kuzaliwa masikini hamkufanyi mtu kuwa masikini.
Kuna jamaa hapa tulikuw tumepata sehm y majaribio ya kazi ya usafi hospitalini. Huyu jama anatembea nearly 5 km kutok kwake kuja kituoni na ana mke na watoto wawili, wamepanga chumba kimoja na mshkaj han kazi maalum. Kwa sabb mm n meneja w hik kikampun tunajuan akatka amkatili jamaa anipe job mm, nami nkamsisitiz tu kwamb mm nataft hela ya kuhonga sbb kula si tatizo. Nkashaur ampe kaz jamaa manke kwake kunateketea kabisaaaa...
NB :ukiona una mshahar haitoshi, ujuE Kuna mwingine angepat mshahra huo angefanya makubwa.
 
alikuwa, anashinda BAA. Afu utwambie hana hela!
Akiwa anafanya kazi ni kweli ilikuwa baa na yeye hatimaye akaukwaa,sasa hivi hali yake kiafya ni mbaya ,na anahitaji matibabu na anambana kijana wake umhudumie na apate matibabu ,afanyeje na hala kipato
 
Huyu jamaa yangu amejikuta kwenye dimbwi zito la Mawazo anaomba ushauri.

Ana miaka 37 ameoa ana mke na watoto watatu ,ana watoto wa mdogo wake wa kike watatu.

Mdogo wake wa kike alizalia nyumbani na alikimbia nyumbani na kuwaacha watoto wake ,ili kupunguza shida kwa wazazi akaamua kuwachukua.

Anamlaumu baba yake kwa maisha wanayoishi kwa sababu zifuatazo.

Aliajiriwa kama dreva kwenye makampuni ya usafirishaji,lakini hakuwekeza sehemu yoyote ,hakununua ardhi yoyote,hakujenga nyumba yake ya kudumu,hakuwekeza hata kwenye biashara ,alichoambulia ni pombe na wanawake akaambulia ugonjwa wa kisasa.

Mama yake yeye ndiye alkuwa anajitahidi kuwahudumia wakati baba yao akishindia baa.

Familia sasa ni maskini kweli kweli,kwa juhudi za mama huyo jamaa yangu akajitahidi akasoma akapata kazi serikali za mitaa ingawa mshahara ni mdogo ila anajitahidi kuwahudumia wazazi wote.

Sasa hivi amejikuta katika msongo wa mawazo mazito ambayo yanahitaji tiba haraka sana.

Anasema ndo ameanza kujenga pamoja na mshahara huo mdogo maana familia inakua lakini anajikuta anazidiwa. Pamoja na kuanza kujenga nyumba yake wazazi wanapinga kujenga kwa sababu wazazi wanadai awajengee kwanza kabla hajaanza kujenga nyumba yake.

Anasema kila mwezi alkuwa anawanunulia wazazi wake mahitaji na familia yake,alipoanza kujenga kuna vitu vimepungua hasa kwa wazazi wake (huduma).

Mbaya zaidi mama yake anaumwa ugonjwa wa kuvimba viungo vya mwili,ikabidi akope amtibu mama yake.

Hata mwezi haujaisha baba naye anaumwa hali yake imedhoofika kwa sababu ana ugonjwa mwingine wa kisasa,na mbaya zaidi baba yake ameenda kukaa kwake akimwambia huyo kijana wake ampeleke hospital anajiskia vibaya mnooo.

Na wakati huo huo zimebaki wiki chache mke wake ajifungue.

Mpe jamaa ushauri ,afanyeje na hela hana ...ana familia ya watu watu 7 ina maana watoto watatu na mke wake,watoto wa dada yake wapo watatu na wazazi hao wanamtegemea asilimia mia na wanaumwa tena magonjwa makubwa anafanyaje?
Mkuu wewe ndiye kilongalonga chake?

Kwanini asielezee hizo dhiki zake yeye mwenyewe?

Unajua, kuelezea shida za mtu mwingine, kuna maneno unayaongeza na mengine kuyapunguza kwa kuyasahau bila wewe kujua na kupunguza thamani ama uzito wa jambo lenyewe!

Hapo mi naona yote uliyoelezea hapo ni changamoto za kawaida katika jamii kubwa ya maisha ya WaTz walio wengi.

Kuna watu wanaishi kwa shida sana kuliko hata huyo jamaa yako.

Ulishawaza hata siku1 waweza kukosa pa kushika, yaani huna pesa, huna makazi, kazi umefukuzwa na kujikuta hauna chochote kabisa hadi unalala stendi kama msafiri?

Kuna watu wanaishi maisha ya namna hiyo sasa, je hao tuwaweke fungu gani?

Kama watu wenye makazi yao kisa kuuguliwa tuanze kuchangishana mawazo cha kufanya kweli!

Kuweni serious basi wajameni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa yangu amejikuta kwenye dimbwi zito la Mawazo anaomba ushauri.

Ana miaka 37 ameoa ana mke na watoto watatu ,ana watoto wa mdogo wake wa kike watatu.

Mdogo wake wa kike alizalia nyumbani na alikimbia nyumbani na kuwaacha watoto wake ,ili kupunguza shida kwa wazazi akaamua kuwachukua.

Anamlaumu baba yake kwa maisha wanayoishi kwa sababu zifuatazo.

Aliajiriwa kama dreva kwenye makampuni ya usafirishaji,lakini hakuwekeza sehemu yoyote ,hakununua ardhi yoyote,hakujenga nyumba yake ya kudumu,hakuwekeza hata kwenye biashara ,alichoambulia ni pombe na wanawake akaambulia ugonjwa wa kisasa.

Mama yake yeye ndiye alkuwa anajitahidi kuwahudumia wakati baba yao akishindia baa.

Familia sasa ni maskini kweli kweli,kwa juhudi za mama huyo jamaa yangu akajitahidi akasoma akapata kazi serikali za mitaa ingawa mshahara ni mdogo ila anajitahidi kuwahudumia wazazi wote.

Sasa hivi amejikuta katika msongo wa mawazo mazito ambayo yanahitaji tiba haraka sana.

Anasema ndo ameanza kujenga pamoja na mshahara huo mdogo maana familia inakua lakini anajikuta anazidiwa. Pamoja na kuanza kujenga nyumba yake wazazi wanapinga kujenga kwa sababu wazazi wanadai awajengee kwanza kabla hajaanza kujenga nyumba yake.

Anasema kila mwezi alkuwa anawanunulia wazazi wake mahitaji na familia yake,alipoanza kujenga kuna vitu vimepungua hasa kwa wazazi wake (huduma).

Mbaya zaidi mama yake anaumwa ugonjwa wa kuvimba viungo vya mwili,ikabidi akope amtibu mama yake.

Hata mwezi haujaisha baba naye anaumwa hali yake imedhoofika kwa sababu ana ugonjwa mwingine wa kisasa,na mbaya zaidi baba yake ameenda kukaa kwake akimwambia huyo kijana wake ampeleke hospital anajiskia vibaya mnooo.

Na wakati huo huo zimebaki wiki chache mke wake ajifungue.

Mpe jamaa ushauri ,afanyeje na hela hana ...ana familia ya watu watu 7 ina maana watoto watatu na mke wake,watoto wa dada yake wapo watatu na wazazi hao wanamtegemea asilimia mia na wanaumwa tena magonjwa makubwa anafanyaje?
Mtumishi wa Tamisemi halafu mzazi hna bma ya NHIF??????
 
Akiwa anafanya kazi ni kweli ilikuwa baa na yeye hatimaye akaukwaa,sasa hivi hali yake kiafya ni mbaya ,na anahitaji matibabu na anambana kijana wake umhudumie na apate matibabu ,afanyeje na hala kipato
Naiman Mungu ananjia nyingi zakumfanya mtu amkumbuke. Hivyo basi acha aendelee kumkumbuka bwashee
 
Wazazi wanapinga asijenge wanataka awajengee kwanza wao😂😂😂😂.......IPO HAJA YA KUWAULIZA WAZAZI WETU YALE WANAYOYATAKA TUWAFANYIE JE NA WAO WALIWAFANYIA WAZAZI WAO???
 
That's life jikaze tu itafika wakati matatizo yataisha yenyewe automatically lakini ukisema upambane kuyamaliza ndivyo unazidi kuyakaribisha matatizo mengine na hali itazidi kuwa ngumu.
 
Namshauri kama kipato chake kidogo atumie uzazi wa mpango,maana ana watoto 3 na sasa mkewe ana mimba anakaribia kujifungua.
Akishindwa kabisa awe anavaa kondomu kupunguza kumzalisha mkewe huku kipato chake ni kiduchu.
 
Huyu jamaa yangu amejikuta kwenye dimbwi zito la Mawazo anaomba ushauri.

Ana miaka 37 ameoa ana mke na watoto watatu ,ana watoto wa mdogo wake wa kike watatu.

Mdogo wake wa kike alizalia nyumbani na alikimbia nyumbani na kuwaacha watoto wake ,ili kupunguza shida kwa wazazi akaamua kuwachukua.

Anamlaumu baba yake kwa maisha wanayoishi kwa sababu zifuatazo.

Aliajiriwa kama dreva kwenye makampuni ya usafirishaji,lakini hakuwekeza sehemu yoyote ,hakununua ardhi yoyote,hakujenga nyumba yake ya kudumu,hakuwekeza hata kwenye biashara ,alichoambulia ni pombe na wanawake akaambulia ugonjwa wa kisasa.

Mama yake yeye ndiye alkuwa anajitahidi kuwahudumia wakati baba yao akishindia baa.

Familia sasa ni maskini kweli kweli,kwa juhudi za mama huyo jamaa yangu akajitahidi akasoma akapata kazi serikali za mitaa ingawa mshahara ni mdogo ila anajitahidi kuwahudumia wazazi wote.

Sasa hivi amejikuta katika msongo wa mawazo mazito ambayo yanahitaji tiba haraka sana.

Anasema ndo ameanza kujenga pamoja na mshahara huo mdogo maana familia inakua lakini anajikuta anazidiwa. Pamoja na kuanza kujenga nyumba yake wazazi wanapinga kujenga kwa sababu wazazi wanadai awajengee kwanza kabla hajaanza kujenga nyumba yake.

Anasema kila mwezi alkuwa anawanunulia wazazi wake mahitaji na familia yake,alipoanza kujenga kuna vitu vimepungua hasa kwa wazazi wake (huduma).

Mbaya zaidi mama yake anaumwa ugonjwa wa kuvimba viungo vya mwili,ikabidi akope amtibu mama yake.

Hata mwezi haujaisha baba naye anaumwa hali yake imedhoofika kwa sababu ana ugonjwa mwingine wa kisasa,na mbaya zaidi baba yake ameenda kukaa kwake akimwambia huyo kijana wake ampeleke hospital anajiskia vibaya mnooo.

Na wakati huo huo zimebaki wiki chache mke wake ajifungue.

Mpe jamaa ushauri ,afanyeje na hela hana ...ana familia ya watu watu 7 ina maana watoto watatu na mke wake,watoto wa dada yake wapo watatu na wazazi hao wanamtegemea asilimia mia na wanaumwa tena magonjwa makubwa anafanyaje?
Acha kutumia nafsi ya tatu sema ni wewe! Haupo mwenyewe hata Mimi hali mbaya aisee !!! Halafu waifu anafosi mtoto aende English medium ada 2000,000/ kwa mwaka !!/ nimepiga biti hatuongei ni salam tuuu dahhhhh acha kabisa
 
Hapo bado watoto wake hawajazaa wakiwa shule ya msingi kama mnavyotaka.

La kusema apambane tu, kila jaribu lina mlango wa kutokea.
 
Mwambie ajinyonge tu ili atupunguzie idadi,maana kama matatizo kila mtu ana yake asee na wengine hatujafikiria hata kujinyonga.
 
Mwambie akimbie mji aende kuishi peke yake huko na tembo.

Nawatahadhalisha vijana mnaokwenda kuoa sasa hivi, mjihadhari na kupata watoto...utakuwa na shida hadi kaburini..
Ingekuwa kuna switch ya kuzima via vya uzazi ningevizima ili nisiweze kupata watoto, nyege ndo adui yetu mtamu!!!
Khaaaaa na wewe huu ndo ushauri gani huu
 
Huyu jamaa yangu amejikuta kwenye dimbwi zito la Mawazo anaomba ushauri.

Ana miaka 37 ameoa ana mke na watoto watatu ,ana watoto wa mdogo wake wa kike watatu.

Mdogo wake wa kike alizalia nyumbani na alikimbia nyumbani na kuwaacha watoto wake ,ili kupunguza shida kwa wazazi akaamua kuwachukua.

Anamlaumu baba yake kwa maisha wanayoishi kwa sababu zifuatazo.

Aliajiriwa kama dreva kwenye makampuni ya usafirishaji,lakini hakuwekeza sehemu yoyote ,hakununua ardhi yoyote,hakujenga nyumba yake ya kudumu,hakuwekeza hata kwenye biashara ,alichoambulia ni pombe na wanawake akaambulia ugonjwa wa kisasa.

Mama yake yeye ndiye alkuwa anajitahidi kuwahudumia wakati baba yao akishindia baa.

Familia sasa ni maskini kweli kweli,kwa juhudi za mama huyo jamaa yangu akajitahidi akasoma akapata kazi serikali za mitaa ingawa mshahara ni mdogo ila anajitahidi kuwahudumia wazazi wote.

Sasa hivi amejikuta katika msongo wa mawazo mazito ambayo yanahitaji tiba haraka sana.

Anasema ndo ameanza kujenga pamoja na mshahara huo mdogo maana familia inakua lakini anajikuta anazidiwa. Pamoja na kuanza kujenga nyumba yake wazazi wanapinga kujenga kwa sababu wazazi wanadai awajengee kwanza kabla hajaanza kujenga nyumba yake.

Anasema kila mwezi alkuwa anawanunulia wazazi wake mahitaji na familia yake,alipoanza kujenga kuna vitu vimepungua hasa kwa wazazi wake (huduma).

Mbaya zaidi mama yake anaumwa ugonjwa wa kuvimba viungo vya mwili,ikabidi akope amtibu mama yake.

Hata mwezi haujaisha baba naye anaumwa hali yake imedhoofika kwa sababu ana ugonjwa mwingine wa kisasa,na mbaya zaidi baba yake ameenda kukaa kwake akimwambia huyo kijana wake ampeleke hospital anajiskia vibaya mnooo.

Na wakati huo huo zimebaki wiki chache mke wake ajifungue.

Mpe jamaa ushauri ,afanyeje na hela hana ...ana familia ya watu watu 7 ina maana watoto watatu na mke wake,watoto wa dada yake wapo watatu na wazazi hao wanamtegemea asilimia mia na wanaumwa tena magonjwa makubwa anafanyaje?
Ajenge nyumba yake, ikiwezekana aipangishe ili impunguzie ugumu wa maisha.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom