Major General Mkisi Hatunaye Tena

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,695
1,696
Source: http://www.dailynews.co.tz/home/?n=7674

MAJOR General Nelson Mkisi, a former National Service Chief, died in Dar es Salaam on Saturday. He was 78.

A statement issued by the Tanzania People's Defence Force (TPDF) today said Mkisi died at the Tanzania Heart Institute (THI).

The late Mkisi is expected to be buried at his village Igamba, Mbozi District, Mbeya Region on Thursday this week.

His body is expected to be transported to Mbeya on Wednesday.

The statement said Mkisi will be buried with full military honours. He is survived by a widow, 15 children, 22 grand-children and a grand-grand child.

Maj. Gen. Mkisi served in the army for 39 years.

Kwa wale Vijana Wa Zamani waliopitia JKT Mtakumbuka Major General Mkisi enzi zake akiwa Mkuu wa JKT, JKT nayo ilikuwa "imepamba moto".

Mungu awafariji wafiwa wote
 
Katika salamu zake kwa JKT kutimiza miaka 46, Meja Jenerali Kitundu anasema, umuhimu umeelekezwa katika sekta ya kilimo, mifugo, uvuvi na viwanda, ili viweze kuongeza tija na mapato.

Tangu kuanzishwa kwake, JKT limeongozwa na wakuu mbalimbali kwa nyakati tofauti. Viongozi hao ni Assistant Supaeritendant of Police (ASP), David Nkulila kuanzia Julai 1963-Desemba 1967.

Wengine ni Robert Kaswende Januari 1968-Mei 1970, Laurence Gama Mei 1970-Januari 1973, Meja Jenerali (mstaafu) Nelson Mkisi Januari 1973-Januari 1989, Meja Jenerali (mstaafu) Makame Rashid Nalihinga Januari 1989-Oktoba 2001.

Wengeni ni Meja Jenerali (Jenerali) Davis Mwamunyange, Novemba 2001-Juni 2006, Meja Jenerali (Luteni Jenerali) Abdulrahman Shimbo Januari 2006- Septemba 2007, Meja Jenerali (mstaafu) Martine Madata, Septemba 2007-Septemba 6, 2008 na Meja Jenerali Samuel Kitundu Februari 9, 2009 ambaye ni Mkuu wa JKT kwa sasa.

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mbalimbali-za-mzee-rashid-mfaume-kawawa.html
 
Tunamtakia safari njema, akapumzike salama. Akamwambie Mwalimu vitimbi vya watu aliowapa dhamana kukamata nchi yake. Wafiwa poleni, ni njia ya kawaida ya mwanadamu na huo ndio mwisho wa utalii wa duniani kisha matembezi mapya.
 
Tunamtakia safari njema, akapumzike salama. Akamwambie Mwalimu vitimbi vya watu aliowapa dhamana kukamata nchi yake. Wafiwa poleni, ni njia ya kawaida ya mwanadamu na huo ndio mwisho wa utalii wa duniani kisha matembezi mapya.

Napenda kuuliza:

Kwa kuwa maneno kama hayo yamezoeleka sana katika jamii (bila kuchukulia kama ulikuwa unafanya utani au kuweka msisitizo wa issue fulani);

Je, maana yake katika uhalisi wa kweli ni nini? Marehemu Wanasafiri? Wanapumzika? Wanakutana na waliotangulia?
 
Mkisi alikuwa ngangali, watoto wake walikuwa very simple and down to earth.

May all beings attain enlightenment.
 
Mkuu huyu tulikuwa tunaishi eneo moja huku kwenye hewa nzuri kusiko na pollution . . . I mean huku Segerea kwa wazungu vijana wa mjini wanavyukuita!
 
Huyu na yeye alikuwa KIBAKA tu kama Waziri wa elimu wa zamani marehemu Chediel Mgonja. Mgonja habari zake zilielezewa sana hapa ndani hadi alivyokuja kuwezwa na Mama Thabitha Siwale huko Singida.

Alikuwa akifika kambi ya JKT, basi lazima wamuandalie kitoto cha watu eti alale nacho maana usiku baridi. Wengine wanasema kuwa yule Mke wa marehemu Mtono ni yeye alimtia mimba ya kwanza. Kwa kutunza siri ya mzee, kijana Mtono enzi hizo alipewa yule mamaa amuowe na akubali kumtunza mtoto. Jamaa alipofanya hivyo, basi akawa anapanda kazi si kawaida. Kozi moja baada ya nyingine na mwisho hadi akapelekwa Izrael kwenye mafunzo ya ukomandoo na huko (wanasema) zilifyatuka.

Nilipokuwa Msange JKT, walinipa habari kuwa alipofika hapo, alidai anataka nyama ya mbuzi ila lazima aoshwe. Jamaa wakatafuta mbuzi na wakamchinja na walipomletea nyama akauliza kama alioshwa. Jamaa wakasema nyama iko safi kabisa. Yeye akarudia tena kama MBUZI alioshwa kabla hajachinjwa. Jamaa wakasema hapana. Muda mfupi baadaye, jamaa walikuwa kijijini wakisaka mbuzi mwingine ili wamuoshe kabla hajachinjwa.

Alipokula na kushiba vizuri, akaenda KUJIPUMZISHA na kitoto cha watu kilicholazimishwa kwenda JKT. Wazazi wanapoteza pesa nyingi ili kusomesha, jamaa linakuja linatumia utafikiri hako kabinti ni choo cha kwenda kutumbukiza vitu vyako na kuondoka bila kukumbuka hata alikuwa na jina gani na mwili gani............

Kama hao mabinti wameshafariki, ninauhakika watahakikisha kila siku wanamuinamisha na kumsukumizia FENESI kwenye ule mntadao maarufu wa simu Tanzania. Wataofuata wataenda wamejiandaa kwenda kumsulubu kwa ubakaji wake.

Mungu amchagulie mahali PAZURI kutokana na matendo yake yote duniani.
 
Huyu na yeye alikuwa KIBAKA tu kama Waziri wa elimu wa zamani marehemu Chediel Mgonja. Mgonja habari zake zilielezewa sana hapa ndani hadi alivyokuja kuwezwa na Mama Thabitha Siwale huko Singida.

Alikuwa akifika kambi ya JKT, basi lazima wamuandalie kitoto cha watu eti alale nacho maana usiku baridi. Wengine wanasema kuwa yule Mke wa marehemu Mtono ni yeye alimtia mimba ya kwanza. Kwa kutunza siri ya mzee, kijana Mtono enzi hizo alipewa yule mamaa amuowe na akubali kumtunza mtoto. Jamaa alipofanya hivyo, basi akawa anapanda kazi si kawaida. Kozi moja baada ya nyingine na mwisho hadi akapelekwa Izrael kwenye mafunzo ya ukomandoo na huko (wanasema) zilifyatuka.

Nilipokuwa Msange JKT, walinipa habari kuwa alipofika hapo, alidai anataka nyama ya mbuzi ila lazima aoshwe. Jamaa wakatafuta mbuzi na wakamchinja na walipomletea nyama akauliza kama alioshwa. Jamaa wakasema nyama iko safi kabisa. Yeye akarudia tena kama MBUZI alioshwa kabla hajachinjwa. Jamaa wakasema hapana. Muda mfupi baadaye, jamaa walikuwa kijijini wakisaka mbuzi mwingine ili wamuoshe kabla hajachinjwa.

Alipokula na kushiba vizuri, akaenda KUJIPUMZISHA na kitoto cha watu kilicholazimishwa kwenda JKT. Wazazi wanapoteza pesa nyingi ili kusomesha, jamaa linakuja linatumia utafikiri hako kabinti ni choo cha kwenda kutumbukiza vitu vyako na kuondoka bila kukumbuka hata alikuwa na jina gani na mwili gani............

Kama hao mabinti wameshafariki, ninauhakika watahakikisha kila siku wanamuinamisha na kumsukumizia FENESI kwenye ule mntadao maarufu wa simu Tanzania. Wataofuata wataenda wamejiandaa kwenda kumsulubu kwa ubakaji wake.

Mungu amchagulie mahali PAZURI kutokana na matendo yake yote duniani.

Mkuu;

maneno mazito sana hayo . . .

Hata hivyo uko uwezekano kwamba marehemu alibadili maisha yake na kufanya upatanisho na Mungu Wake . . . . Hakika ya kale yanakuwa yamepita.

Vinginevyo, kama mwalimu alivyosema na naamu Biblia kwa Uhakika . . . .

Ni nani basi awezaye kuingia katika ufalme wa Mbinguni?

Tuombeane Mkuu Sikonge . . . vinginevyo . . . asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe . . .
 
Mkuu;

maneno mazito sana hayo . . .

Hata hivyo uko uwezekano kwamba marehemu alibadili maisha yake na kufanya upatanisho na Mungu Wake . . . . Hakika ya kale yanakuwa yamepita.

Vinginevyo, kama mwalimu alivyosema na naamu Biblia kwa Uhakika . . . .

Ni nani basi awezaye kuingia katika ufalme wa Mbinguni?

Tuombeane Mkuu Sikonge . . . vinginevyo . . . asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe . . .

"Mungu amchagulie mahali PAZURI kutokana na matendo yake yote duniani".

Mkuu, ndiyo maana nilimalizia na maneno hapo juu. Nafahamu kuwa Mungu ndiye mwamuzi wa yote.
 
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.Huyu alikuwa mwanajeshi kweli kweli.Geshini cheo Meja General, watoto 15! Alikuwa kamili huyu mkuu!
 
Huyu na yeye alikuwa KIBAKA tu kama Waziri wa elimu wa zamani marehemu Chediel Mgonja. Mgonja habari zake zilielezewa sana hapa ndani hadi alivyokuja kuwezwa na Mama Thabitha Siwale huko Singida.

Alikuwa akifika kambi ya JKT, basi lazima wamuandalie kitoto cha watu eti alale nacho maana usiku baridi. Wengine wanasema kuwa yule Mke wa marehemu Mtono ni yeye alimtia mimba ya kwanza. Kwa kutunza siri ya mzee, kijana Mtono enzi hizo alipewa yule mamaa amuowe na akubali kumtunza mtoto. Jamaa alipofanya hivyo, basi akawa anapanda kazi si kawaida. Kozi moja baada ya nyingine na mwisho hadi akapelekwa Izrael kwenye mafunzo ya ukomandoo na huko (wanasema) zilifyatuka.

Nilipokuwa Msange JKT, walinipa habari kuwa alipofika hapo, alidai anataka nyama ya mbuzi ila lazima aoshwe. Jamaa wakatafuta mbuzi na wakamchinja na walipomletea nyama akauliza kama alioshwa. Jamaa wakasema nyama iko safi kabisa. Yeye akarudia tena kama MBUZI alioshwa kabla hajachinjwa. Jamaa wakasema hapana. Muda mfupi baadaye, jamaa walikuwa kijijini wakisaka mbuzi mwingine ili wamuoshe kabla hajachinjwa.

Alipokula na kushiba vizuri, akaenda KUJIPUMZISHA na kitoto cha watu kilicholazimishwa kwenda JKT. Wazazi wanapoteza pesa nyingi ili kusomesha, jamaa linakuja linatumia utafikiri hako kabinti ni choo cha kwenda kutumbukiza vitu vyako na kuondoka bila kukumbuka hata alikuwa na jina gani na mwili gani............

Kama hao mabinti wameshafariki, ninauhakika watahakikisha kila siku wanamuinamisha na kumsukumizia FENESI kwenye ule mntadao maarufu wa simu Tanzania. Wataofuata wataenda wamejiandaa kwenda kumsulubu kwa ubakaji wake.

Mungu amchagulie mahali PAZURI kutokana na matendo yake yote duniani.

Ndugu Sikonge umesema kweli kabisa. Jamaa huyu alichangia sana kufanya watoto wa kike wawe wanadhalilishwa sana jeshini kwa vile alikuwa anawafundisha makamanda jinsi ya kuwadhalilisha wasichana kutokana na vitendo vyake hivyo. Hata hivyo kwa vile katangulia mbele ya haki, wajibu wetu kama binadamu ni kuwapa pole wafiwa kwa vile siyo jukumu letu kutoa hukumu kwa matendo aliyofanya.

attachment.php


Modereta, nisaidie kupunguza ukubwa wa picha hiyo hapo juu.
 

Attachments

  • jkt0002.jpg
    jkt0002.jpg
    425.9 KB · Views: 340
Back
Top Bottom