Leo ndo nimeelewa! Kumbe ilikua biti tu wahuni watulie? Sawa hili tulitakiwa kuambiwa mapema Sana ili kuepusha hoja mpya juu ya uwepo wa su 30 ndani ya libyaNilichokielewa mimi yule jamaa alikuwa anapiga biti kutuliza dhahama pale gerezani. Lakini hiyo silaha haikuwepo