Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Ukihitaji kwa ajili ya mbegu (kufuga) au kwa ajili ya kitoweo hasa kwa kipindi hichi cha sikukuu. Wana miezi 5 tu lakini ni wakubwa. Anayefahamu majogoo hayo anaweza kujua kitu nasema. Bei ni shs. 20,000/= kwa jogoo. Unaweza ukanieleza kama unahitaji. Karibuni. Pichani utaona kuna majogoo wa miezi 5 na wadogo weupe wa miezi 2