Majizzo: Nimeumia sana Hayati Rais Magufuli alikubali kuja kuzindua jengo letu la Efm

Dah, taasisi ya urais ilidharauliwa sana. Yaani mkuu wa nchi aje kuzindua jengo la kituo cha redio binafsi? Hii kazi angalao ingefanywa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania
Nadhani Samia ataweka heshima
 
Dah, taasisi ya urais ilidharauliwa sana. Yaani mkuu wa nchi aje kuzindua jengo la kituo cha redio binafsi? Hii kazi angalao ingefanywa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania

Huyu alikuwa mtu mihimu sana kwenye kampeni za CCM ndio maana alikubaliwa sema wengi wenu hamjui
 
Kwa tuliko kuwa tunaelekea rais angeanza kuweka jiwe la msingi hadi kwenye vibanda vyetu huku Kerege.
 
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mkurugenzi wa kituo cha habari cha Efm na TVE, Mbwana Francis Ciza alimaarufu Majizzo ameeleza namna alivyokamilisha taratibu zote za hayati Magufuli kuja kulizindua jengo lao la kituo hicho cha habari, Majizzo ameeleza kuwa –

Screen-Shot-2021-03-27-at-13.15.40.png


“Moyo wangu umejawa na maumivu makali. Mwanzoni mwa mwezi huu wa tatu, tuliratajia ujio wa aliyekuwa Rais wetu, Dkt #Magufuliwetu pale #EFMnaTve. Katika udogo wetu huu, udogo wa project yetu hii, tena tukiwa taasisi binafsi inayomilikiwa na Vijana, Hayati Magufuli alikubali kuja ofisini kwetu kufanya uzinduzi rasmi wa jengo letu. Taratibu zote za Kiserikali zilishaakamilika, alishatuambia anakuja. Tulijipanga kikamilifu (tafuta hashtag #WaswahiliKidedea, ambayo walipost rafiki zetu mbalimbali, hiyo ilikuwa tunaanza promo. Kuna wimbo mzuri wa Singeli tulishaautengeneza kwa ajili yake, tutautoa) ilikuwa tufanye tukio kubwa sana pamoja na Rais wetu kwenye ofisi zetu.

Can you imagine what i am feeling right now?, Pain. Nimeumia sana. Mzee huyu alituheshimu, alitaka kutuheshimisha zaidi, angekuja pale kuna milango mingi sana ingefunguka kwa ajili ya vijana wetu wa Uswahilini.
.
Pichani ni maandishi ambayo authorities zilipitisha tuyaweke kwenye jiwe la msingi. Kwa kuwa Mzee wangu Magufuli alishapitisha hili, tunakusudia kwamba jiwe la msingi katika ofisi yetu libaki kwamba yeye ndio alizindua jengo letu. Nitafanya hivyo iwapo mamlaka husika zitaona kwamba sikiuki itifaki yoyote.

Mwisho : Nina hakika Rais @sami_suluhu_hassan atatupeleka katika Tanzania aliyotamani hayati Magufuli. Sisi #EFMnaTVE tutashirikiana naye kwa ari na nguvu kubwa.


#RipMagufuli #RIPMzeeWangu #AsanteKwaYote”
Kama alikubali kuja kufungua hilo jengo mwanzoni mwa march, sasa nini kilimzuia maana mpaka tarehe 12 march (karibu na nusu ya mwezi) tuliambiwa kuwa alikuwa ofisini anapiga kazi?
 
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mkurugenzi wa kituo cha habari cha Efm na TVE, Mbwana Francis Ciza alimaarufu Majizzo ameeleza namna alivyokamilisha taratibu zote za hayati Magufuli kuja kulizindua jengo lao la kituo hicho cha habari, Majizzo ameeleza kuwa –

Screen-Shot-2021-03-27-at-13.15.40.png


“Moyo wangu umejawa na maumivu makali. Mwanzoni mwa mwezi huu wa tatu, tuliratajia ujio wa aliyekuwa Rais wetu, Dkt #Magufuliwetu pale #EFMnaTve. Katika udogo wetu huu, udogo wa project yetu hii, tena tukiwa taasisi binafsi inayomilikiwa na Vijana, Hayati Magufuli alikubali kuja ofisini kwetu kufanya uzinduzi rasmi wa jengo letu. Taratibu zote za Kiserikali zilishaakamilika, alishatuambia anakuja. Tulijipanga kikamilifu (tafuta hashtag #WaswahiliKidedea, ambayo walipost rafiki zetu mbalimbali, hiyo ilikuwa tunaanza promo. Kuna wimbo mzuri wa Singeli tulishaautengeneza kwa ajili yake, tutautoa) ilikuwa tufanye tukio kubwa sana pamoja na Rais wetu kwenye ofisi zetu.

Can you imagine what i am feeling right now?, Pain. Nimeumia sana. Mzee huyu alituheshimu, alitaka kutuheshimisha zaidi, angekuja pale kuna milango mingi sana ingefunguka kwa ajili ya vijana wetu wa Uswahilini.
.
Pichani ni maandishi ambayo authorities zilipitisha tuyaweke kwenye jiwe la msingi. Kwa kuwa Mzee wangu Magufuli alishapitisha hili, tunakusudia kwamba jiwe la msingi katika ofisi yetu libaki kwamba yeye ndio alizindua jengo letu. Nitafanya hivyo iwapo mamlaka husika zitaona kwamba sikiuki itifaki yoyote.

Mwisho : Nina hakika Rais @sami_suluhu_hassan atatupeleka katika Tanzania aliyotamani hayati Magufuli. Sisi #EFMnaTVE tutashirikiana naye kwa ari na nguvu kubwa.


#RipMagufuli #RIPMzeeWangu #AsanteKwaYote”
Muuza unga alie Honga Bashite aka chomolewa. Sasa ana haha Genge lake la Unga itakuweje.
 
Magezeti yanaandika kwa uhuru sana sasa hivi, sijui upande wa redio na tv kama na wao wamekuwa 'huru ki hivyo' kipindi hichi kifupi
 
Magezeti yanaandika kwa uhuru sana sasa hivi, sijui upande wa redio na tv kama na wao wamekuwa 'huru ki hivyo' kipindi hichi kifupi
😂 😂 😂 Wamepata uhuru wao
 
Muuza unga alie Honga Bashite aka chomolewa. Sasa ana haha Genge lake la Unga itakuweje.

Wivu bhana! Sasa mbona hadi leo hajakamatwa na taasisi husika? Si alihojiwa huyu? Kwanini hawakumchukulia hatua?
 
Kuna mambo ukifa automatically huwa ni hasara mfano ulinunua kiwanja au nyumba Ila hukumshirikisha mkeo ukataka umfanyie surprise..... chap kidog Wana wanapita na mzigo na mkeo hapati kitu
Mzigo gani wanapita nao mkuu?. Wakati mzigo tayari ulishanunulia kiwanja au nyumba?
 
Back
Top Bottom