joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,106
- 31,678
Endelea kupiga ramli tu lkn jamaa anazidi kujenga CV,mpaka sasa ana show 30 booked,jana katangaza show Ethiopia,mwezi ujao Malawi,ana show Madagascar miji mitatu,ana show za One Africa (Dubai,New York na London),bado hapo anashow za Wasafi festival Wadhamini wa kumwaga,juzi South Africa album yake ya A boy from Tandale imechukua tuzo.Umaarufu alioupata Dai kipindi kile umemsaidia aendelee ila hakuna atakaempeleka mbele kinidhamu kimafanikio na kiubunifu zaidi ya hapo alipofika.
Manake mnasema Youtube ananunua views lkn boomplay upande wa Tanzania anakimbiza miezi miwili wa 4 na watano (Refer Boomplay insta account).
Alafu mbona kuna wasanii kibao walikuwa maarufu huko nyuma,lkn hata show hawapati pamoja na kutoa nyimbo.