Hata mimi nashangaa sana.........kuna watu wanasema kashashuka kimataifa amebaki east Africa tu..kashaondoka kwenye ligi na kina davido SO what?? umefaidika nini tangu diamind aporomoke kwenye hizo ligi?? kama kuna ulipofaidika chochote nadhani una haki zaidi ya kufurahia anguko lake hata hapa Nchini maana utafaidika mara dufu...
Kumbe na kwenye udaku upo!Wasalaam wanaJF,
Msanii Diamond ambaye ukweli ulio wazi ni msanii nambari moja hapa Tanzania
Msanii Diamond bado anapitia kwenye adhabu isiyo na kikomo ambayo amepewa na wamiliki wa EATV,efm na Clouds fm.
Adhabu hii inalenga kuhakikisha Diamond anapotea kwenye ramani ya Muziki na ikiwezekana asinyanyuke tena.
Lakini adhabu ya kutocheza nyimbo zake ilikwenda mbele zaidi na kuwafata wasanii wake wakina Harmonize,Rich Mavoko,Lavalava na Mboso na Queen Doreen nao wamefungiwa kutochezwa nyimbo zao kwenye vituo vya mabosi hao tajwa.
Lakini pamoja na kutocheza nyimbo za wasanii wote wa WCB bado wasanii hao wamezidi kung'ara kila kona na nyimbo zao zinapigwa kila kona na bila shaka na wao hao maboss wa hivyo vituo wanazisikia kila kona na hilo jambo linawatesa sana maana lengo la kumuangusha Diamond limekuwa gumu sana maana sasa Diamond ameshazaa wakina Diamond wengi kama Harmonize,Mboso na Lavalava.
Sasa Diamond amekuwa kama ni tatizo kubwa zaidi maana ameshazaa vidaimond vingine ambavyo kwakweli kuvizuia itakuwa ngumu sana na watapoteza lengo na ni wazi inakuwa ngumu sana kujua ni wapi sahihi kwa kupiga je ni kwa Diamond au kwa vidaimond.
Rich Mavoko wamemsamehe baada ya kujitoa WCB.
Hawa watanzania wenzetu wana lengo jema sana la kuhakikisha Diamond na vidiamond vyake viaanguka na vinakufa kabisa lakini kila kukicha vinazidi kunawiri moboss wameshindwa kabisa kumuangusha Diamond na wanaendelea kujaribu lakini wanashindwa na ni vyema wakasaidiwa kufanikisha lengo lao hili jema hata la mawazo.
Watumie njia gani mbadala?
Wafanye nini?
Wana kwama wapi?
Sasa hao wengine wanao wapigia nyimbo zao kila siku mbona hawawafiki wakina DIAMOND na kumzidi?Mkuu unajifariji tu,pengine wasingebaniwa kama unavosema wangekuwa Juu zaidi ya sasa,hauwezi kushindana na media,hao hao waliokupandisha ndio wanaokushusha! Kutochezwa kazi za WCB katika hizo media zinamuumiza jamaa yenu sema kinachompa kiburi ni hizo fedha za youtube,ringtones,matangazo tu........Show jamaa yenu anapiga za hapa na pale.
Kwan bro Una mwona Diamond ni yule yule,Diamond cyo msanii wa kushushwa bin vuu inahitaji muda,zile views za you tube zisiwadang'anye Watz ila Diamond kashashuka amebaki anatamba hapa hapa nchin na Kenya,Siyo diamond tu kashuka Bali mziki wetu wa kibongo umebaki unapumlia mipira kwenye soko la kimataifa.Unapomfungia mtu asisikike Radioni au Kusomwa Magazetini kwa zama hizi Haumpunguziii kitu zaidi utakua umefanikiwa kumtenga na sehemu tu ya mashabiki wake (just a part) ila bado kuna sehemu kubwa sana bado anaweza itumia kama njia.
Siku hzi naweza maliza Mwezi sijawasha Tv pale home,naweza maliza Miezi sijasikiliza Radio,magazeti ndio sikumbuki lini nilinunua gazeti...lakini najua each and everything through online...Mtu kama mimi Hawajaweza nitenga na Diamond hao maboss zako.
Kwa level aliyopo sasa hivi DIAMOND mtu yeyote ATAEFURAHIA ANGUKO LAKE huyo namuona kama hajielewi,Diamond sasa hivi Kabeba TAIFA..kina Rick ross,kina Jayz,kina Chriss BroWn huko walipo wakiuliza wasanii wakubwa kutoka Tanzania Wanatajiwa DIAMOND.
Sasa kwanini mfurahie anguko la DIAMOND?? ifike wakati sasa hivi Tanzania tuwe kitu kimoja kama wananchi,tuuungane kuwa wazalendo wakupeleka nchi mbali,sio kuamuliwa na akili na watu wachache wakiamua Ujinga basi nasisi wote tuufate.
Diamond ni identity ya Taifa letu kimuziki upende usipende utake usitake,kufurahia anguko lake that means umefurahi Tanzania inapokosa Muwakilishi kwenye Matuzo makubwa makubwa kama BET AWARDS.
Hivi kwenye Tuzo kama BET mtu kama diamond anapochuana na kina Chriss brown mnajua Faida tunayopata watanzania?? mnajua kiasi gani tutafaidika endapo atamshinda Msaniii wa kule?? Nadhani bado tuna endekeza akili za kina Ruge,majizo na hao EATV.
Kila mtu ana madhaifu dunia ya leo ila inapofika swala la TAIFA inatakiwa tuweke tofauti zetu pembeni tusimame kama TAIFA,hili tatizo sio kwa diamond tu hata team za mpira unakuta SIMBA inacheza na Misri ila yanga wote wanashangilia Misri,shenz type.
Haya sasa mnachokitaka mtakipata,Diamond hatodumu milele ataanguka muda wake ukifika halafu tutaona nyie mnaotaka anguko lake mtapata faida gani,kaeni mkijua hata aanguke leo haturudi maisha yakula ugali na maji ya chumvi au supa dip Haipo hiyo.
Endeleeni kumwombea mabaya ila pia msisahau kuna wanaomwombea MEMA as long as anawakilisha nchi ninayoishi.
Nini kifanyike na wakati Watanzania hatupendani na huyo anayetuwakilisha kimataifa wanamwombea njaa ashuke.Kwan bro Una mwona Diamond ni yule yule,Diamond cyo msanii wa kushushwa bin vuu inahitaji muda,zile views za you tube zisiwadang'anye Watz ila Diamond kashashuka amebaki anatamba hapa hapa nchin na Kenya,Siyo diamond tu kashuka Bali mziki wetu wa kibongo umebaki unapumlia mipira kwenye soko la kimataifa.
Mbosso.Nitajie msanii proper aliyetoka kwa kupitia nguvu ya social media in recently..
Mbosso na Lavalava.Nitajie msanii proper aliyetoka kwa kupitia nguvu ya social media in recently..
Hayo ndiyo matokeo ya kumzalisha mwanamke na kuingia mitini halafu unaanza kuwakebehi single mother. Humu kuna thread nyingi sana zinazowakebehi na kuwadharirisha single mother. Wengine inafikia hatua wanawaambia wanawake wakatoe mimba.Mkuu ingia YouTube angalia diamond akutanishwa na baba yake. Sijui kwa wengine watachukulia vipi lakini mie siwezi kumdharau mzee wangu vile. Background yao siijui lakini diamond yupo anarusha virasta vyake tuu.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
CCM wanaroho mbaya sana. Wameua uchumi wa nchi na sasa wameingia kwenye muziki. Si mfanye kama Tundu LIssu tu au mtume watu wasiojulikana maana ccm huwa hashindwi hata kama ukiishinda itakutafuta hata kwa bundukiyes...pia na wewe upo
Unataja wasanii waliopo chini ya mwavuli wa diamond tu..Mbosso na Lavalava.
Mkuu kuna siri nzito sana ku_rise kwa Diamond kipindi cha awamu ya 4,tuyaache yapite mkuu,kwasasa jamaa yenu anatembelea nyota tu ya zamani,kama tungekuwa tunachora graphs ungeona jamaa anashuka,alishafika peak kwa sasa anashuka,sema kwa TZ hatuna vitu vya kupima performance za wasanii kimuziki.Sasa hao wengine wanao wapigia nyimbo zao kila siku mbona hawawafiki wakina DIAMOND na kumzidi?
Hivi Diamond alisema ile shoo alipata sh. Ngapi aliozunguka na helcopter, maana kukodi alitumia 30m na watu walioingia uwanjani hawazidi 2000 na kiingilio kama kilikua 10000 inamaana alipata 20m babu tale atoe yake, fela atoe yake na saalam atoe yake na madancer wapewe sijui atakua amepata faida kiasi gani kwa watu wanaokwenda na number