hahahahahaha soma tena threadMuanzisha threadView attachment 1123269
Kama Diamond anatumia ndumba basi waende kwa mganga wake. Huenda watapewa dawa ya kumshusha yeye na vijana wake.Wasalaam.............
Diamond akianguka kimataifa sisi kama Taifa tunapata faida gani ?Ataanguka mwenyewe wakati ukifika,ila mbona kimataifa kishaanguka ukimlinganisha na Davido
Hakuna binadamu aliyefika hatua ya juu kwa kujipandisha yeye mwenyewe from the scratch bila kushirikiana na wengine. Huhitaji elimu ya Havard kulijua hilo.Kusaga ndio boss wa domo. Domo hajajifikisha hapo alipo bila Marehemu Ruge na Kusaga
Watakuwa ni wapuuzi wakubwaKUSAGA NA MAJIZO NA REGINA WATAFANYA SHEREHE
Ana tabia gani mbaya zinazo tofautiana na wasanii wengine?
Umejuaje kawasahau watoto wake?
Joseph ni media patner
Tatzo wamekutana na msanii genious,walikua wanaburuza wale wengine wanavyotaka plus umwinyi/mangi meza.Ila sasa wameshikwa pabaya sanaaWasalaam wanaJF,
Msanii Diamond ambaye ukweli ulio wazi ni msanii nambari moja hapa Tanzania
Msanii Diamond bado anapitia kwenye adhabu isiyo na kikomo ambayo amepewa na wamiliki wa EATV,efm na Clouds fm.
Adhabu hii inalenga kuhakikisha Diamond anapotea kwenye ramani ya Muziki na ikiwezekana asinyanyuke tena.
Lakini adhabu ya kutocheza nyimbo zake ilikwenda mbele zaidi na kuwafata wasanii wake wakina Harmonize,Rich Mavoko,Lavalava na Mboso na Queen Doreen nao wamefungiwa kutochezwa nyimbo zao kwenye vituo vya mabosi hao tajwa.
Lakini pamoja na kutocheza nyimbo za wasanii wote wa WCB bado wasanii hao wamezidi kung'ara kila kona na nyimbo zao zinapigwa kila kona na bila shaka na wao hao maboss wa hivyo vituo wanazisikia kila kona na hilo jambo linawatesa sana maana lengo la kumuangusha Diamond limekuwa gumu sana maana sasa Diamond ameshazaa wakina Diamond wengi kama Harmonize,Mboso na Lavalava.
Sasa Diamond amekuwa kama ni tatizo kubwa zaidi maana ameshazaa vidaimond vingine ambavyo kwakweli kuvizuia itakuwa ngumu sana na watapoteza lengo na ni wazi inakuwa ngumu sana kujua ni wapi sahihi kwa kupiga je ni kwa Diamond au kwa vidaimond.
Rich Mavoko wamemsamehe baada ya kujitoa WCB.
Hawa watanzania wenzetu wana lengo jema sana la kuhakikisha Diamond na vidiamond vyake viaanguka na vinakufa kabisa lakini kila kukicha vinazidi kunawiri moboss wameshindwa kabisa kumuangusha Diamond na wanaendelea kujaribu lakini wanashindwa na ni vyema wakasaidiwa kufanikisha lengo lao hili jema hata la mawazo.
Watumie njia gani mbadala?
Wafanye nini?
Wana kwama wapi?
Hao wenye tabia nzuri wanaopendwa na watanzania wote wana nini cha mno? level zao mbona ni za kawaida sanaTunajua unapenda kumsifia.. ila kwanini haumfunzi abadilike awe na tabia nzuri pia.
Wale wanawe huko SA ndio kawasahau kabisa au hana pesa ya kukaa hata hotelini?
Seriously!?Hivyo vyote havijaweza na haviwei kuchukua nguvu ya media ........
Tuwasaidie maboss wetu watumie njia gani ili huyu kijana aanguke kabisa asinyanyuke...
Wasalaam wanaJF,
Msanii Diamond ambaye ukweli ulio wazi ni msanii nambari moja hapa Tanzania
Msanii Diamond bado anapitia kwenye adhabu isiyo na kikomo ambayo amepewa na wamiliki wa EATV,efm na Clouds fm.
Adhabu hii inalenga kuhakikisha Diamond anapotea kwenye ramani ya Muziki na ikiwezekana asinyanyuke tena.
Lakini adhabu ya kutocheza nyimbo zake ilikwenda mbele zaidi na kuwafata wasanii wake wakina Harmonize,Rich Mavoko,Lavalava na Mboso na Queen Doreen nao wamefungiwa kutochezwa nyimbo zao kwenye vituo vya mabosi hao tajwa.
Lakini pamoja na kutocheza nyimbo za wasanii wote wa WCB bado wasanii hao wamezidi kung'ara kila kona na nyimbo zao zinapigwa kila kona na bila shaka na wao hao maboss wa hivyo vituo wanazisikia kila kona na hilo jambo linawatesa sana maana lengo la kumuangusha Diamond limekuwa gumu sana maana sasa Diamond ameshazaa wakina Diamond wengi kama Harmonize,Mboso na Lavalava.
Sasa Diamond amekuwa kama ni tatizo kubwa zaidi maana ameshazaa vidaimond vingine ambavyo kwakweli kuvizuia itakuwa ngumu sana na watapoteza lengo na ni wazi inakuwa ngumu sana kujua ni wapi sahihi kwa kupiga je ni kwa Diamond au kwa vidaimond.
Rich Mavoko wamemsamehe baada ya kujitoa WCB.
Hawa watanzania wenzetu wana lengo jema sana la kuhakikisha Diamond na vidiamond vyake viaanguka na vinakufa kabisa lakini kila kukicha vinazidi kunawiri moboss wameshindwa kabisa kumuangusha Diamond na wanaendelea kujaribu lakini wanashindwa na ni vyema wakasaidiwa kufanikisha lengo lao hili jema hata la mawazo.
Watumie njia gani mbadala?
Wafanye nini?
Wana kwama wapi?
Aisee walokole walikimbia mkutano wao...kukimbilia mambo ya kidunia...hakika baadhi ya walokole ...hawajui lengo lao... really they don't know their course.....toka enzi zile za mwanzo wa fiesta za kurushia chupa za mkojo na rambo za mavi huwa siendi kwa msanii yeyote,ila huyo ni simba na akitaka kula nyama hashindwi,hapo geita juzi tu katua walokole walikuwa kwenye mkutano wa injili ,wakati wa PA wote wakaisha kwenye mkutano na kumkimbilia simba.ukiacha hilo kaulize ambulance imeokoa wanawake wangapi waliozimia baada ya simba kupanda stage hapo desire park.Jeshi la polisi mjini geita lilibidi lichukue FFU kutoka mji wa katoro na kasamwa ili kuimalisha ulinzi.
Mbali na mabaya, mapungufu na mazuri yake ila napenda ile spirit yake ya moving forward with courage and clear vision, kwa upande wangu ili ni jema ambalo vijana wanatakiwa wawe nalo.Dawa Ni kumuua diamond tu ...
Kama hawezi hilo basi Ni kazi Sana yule mtoto Ana upepo was Hatari sana