MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,748
- 48,372
- Thread starter
- #61
Hivi huwa unafikiria unachoandika au unandika tu,
Huo uchangamfu mbona haujawaondolea chochote zaidi ya kuendelea kudidimia,
Mbona msiende kuchangamsha serikali irudishe ajira angalau unemployment rate ipungue,
Uchangamfu ndio siasa za kikabila 😂😂😂
Tusingekua tumechangamka tungekua nyuma huko mlipo kiuchumi, umaskini, kielimu, kijeshi na kila kitu. Tungeanza tabia za kujaza omba omba kwenye mataifa ya watu kama mnavyofanya.
Kwa huu uchangamfu umelisaidia taifa leo hii tunaongoza ukanda wote huu kwa kila hali.