Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majirani zetu wamejaribia kusubiri mema ya nchi wamejipanga kwa kununua passport. Wengine wamekwenda mbali zaidi mpaka kupata hati ya mahakama kutumia ubin wa Nyerere.
Aiseee? Ni Mahakama za Kwetu au za Huko Kwa MseveniKuna mganda amepewa haki na mahakama kuitwa Julius Nyerere
Dah...Unataka taarifa ya nini tena badala ya kwenda Driving school bana.....Kumbuka kila mtu atakuwa na yake..unakabidhiwa bandarini unasepa......hakuna wa kukusaidia kuendeshaMbona taarifa haina kishikio ebu weka mifano kabisa Kumbuka wewe ndiye mwenye taarifa siye wengine hatuna kabisa ili kama unataka tulifanyie kazi tuanzie wapi
umbe foleni ni I bandarini nilifikiri tunazisubiri kwa mwenyekiti wa mtaa/kijiji kama zile milioni 50Dah...Unataka taarifa ya nini tena badala ya kwenda Driving school bana.....Kumbuka kila mtu atakuwa na yake..unakabidhiwa bandarini unasepa......hakuna wa kukusaidia kuendesha
majirani zetu wamejaribu kusubiri mema ya nchi wamejipanga kwa kununua passport. Wengine wamekwenda mbali zaidi mpaka kupata hati ya mahakama kutumia ubin wa Nyerere.
We hujaelewa tu,ni maandalizi mara baada ya makinikia kulipwa watanzania.Mbona taarifa haina kishikio ebu weka mifano kabisa Kumbuka wewe ndiye mwenye taarifa siye wengine hatuna kabisa ili kama unataka tulifanyie kazi tuanzie wapi