meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
katika jambo lililowachanganya makada wa ccm ikiwemo madiwani ni muitikio mkubwa wa majirani wa sumari kwa mgombea wa chadema bw nassari.hili limedhihirika katika mkutano uliofanywa na chadema ukiongozwa na dr slaa.
Majirani wa sumari walihudhuria kwa wingi kinyume na matarajio ya ccm na chadema.
Sababu kuu ya kumkataa sumari imeelezwa ni kuhusu barabara inayoelekea kwa sumari,barabara hii iliahaidiwa kunjengwa na marehemu mzee sumari lakini ahadi hiyo haikutimizwa mpaka siku mbili kabla ya mazishi yake.kilichofanyika ni kupiga grader kwa maandalizi ya kupokea ugeni uliofika kwenye msiba(kama mnakumbuka kuna mwanajf aliripoti matengenezo ya barabara hii kufanyika usiku na mchana huku ikimwagiwa maji kuondoa vumbi)
mpaka sasa wakazi wa eneo hili(majirani wa sumari) wanasikitishwa na kitendo cha kuachiwa vumbi baada ya mazishi kupita.
Kinachowaudhi zaidi ni hasara iliyotokana na kuvunjwa kwa nyumba za pembezoni kwa ahadi ya ujenzi wa barabara kitu ambacho hakijafanyika hadi leo.
Hili ni pigo kwa sioi kwani anapoteza kura za eneo lake la makazi.
Nawasilisha...
Majirani wa sumari walihudhuria kwa wingi kinyume na matarajio ya ccm na chadema.
Sababu kuu ya kumkataa sumari imeelezwa ni kuhusu barabara inayoelekea kwa sumari,barabara hii iliahaidiwa kunjengwa na marehemu mzee sumari lakini ahadi hiyo haikutimizwa mpaka siku mbili kabla ya mazishi yake.kilichofanyika ni kupiga grader kwa maandalizi ya kupokea ugeni uliofika kwenye msiba(kama mnakumbuka kuna mwanajf aliripoti matengenezo ya barabara hii kufanyika usiku na mchana huku ikimwagiwa maji kuondoa vumbi)
mpaka sasa wakazi wa eneo hili(majirani wa sumari) wanasikitishwa na kitendo cha kuachiwa vumbi baada ya mazishi kupita.
Kinachowaudhi zaidi ni hasara iliyotokana na kuvunjwa kwa nyumba za pembezoni kwa ahadi ya ujenzi wa barabara kitu ambacho hakijafanyika hadi leo.
Hili ni pigo kwa sioi kwani anapoteza kura za eneo lake la makazi.
Nawasilisha...