Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 817
hili ni gazeti ambalo linasomwa na mamilioni ya watanzania lakini hebu tazama hii forum yao ina mambo gani? Lakini tusiwalaumu sana inawezekana kuwa wenye gazeti la MAJIRA wameona kuwa wasomaji wao eidha wanapenda NGONO ndio maana wakaamua kuweka links za ajabu ajabu kwenye mtandao wao au ni kusudi tuuu
In short hawa jamaa wa jajira ni sawa na huyu jamaa hapo chini anayesubiri mtu ukue ili ajinyonge
http://www.majira.co.tz/mijadala/viewforum.php?f=1&sid=e51db365569538e32acb6b6688e6480c
In short hawa jamaa wa jajira ni sawa na huyu jamaa hapo chini anayesubiri mtu ukue ili ajinyonge

http://www.majira.co.tz/mijadala/viewforum.php?f=1&sid=e51db365569538e32acb6b6688e6480c