Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
To get the correct figure, tafuta average ya hizo no tatu.
Jana mwananchi waliandika sengereti badala ya serengeti ,shida tupuHawa ndio wanaadika mafuruku badala ya marufuku...
Jana mwananchi waliandika sengereti badala ya serengeti ,shida tupu
Huyo mwandishi huenda ni Braza KHawa ndio wanaadika mafuruku badala ya marufuku...
Wanatia aibu sana mkuu.Wametafuta Kiki sasa wanapata walichokitaka kutoka Kwetu. Na inabidi watuvumilie tu Mkuu kwani wengine tulivyoumbwa naturally hatuwezi kuona jambo la Kijinga limetokea halafu tukanyamaza eti kwa kisingizio cha kuwapotezea. Mimi ukipatia nakusifu na tena nitakupamba hadi utakubalika ila ukinikera au ukiharibu tu nitakuwasha hadi uonekane hufai tena. Na kinachoniudhi Mkuu kama siyo kunizidishia tu hasira ni kwamba ukiondoa tu Gazeti za Majira ambalo Waandishi wengi hadi Wahariri wana Elimu yetu ile ya hapa na pale ( Certificate na Diploma ) ila Magazeti ya Habari Leo na MWANANCHI yanaongozwa na Wahariri na Waandishi wa Habari wenye Elimu kubwa kuanzia Degree na Masters Degree kitu ambacho Mimi binafsi sikutegemea kama wangefanya hivi bali nilidhani wao ndiyo wangeongoza kwa kuwa na umakini hasa katka Uandishi wao.
Ndiyo maana huwa sipendi kujiita au kujitapa kuwa Mimi ni Msomi kwani nimegundua Wasomi wa Tanzania wanalingana mno Kiaili na wale wasio Wasomi na pengine yawezekana hata wale ambao huwa tunasema hawajasoma kama Sisi wakawa na akili na upeo mkubwa kuliko Wasomi wenyewe.
Mama Ndalichako una Kazi kubwa na ngumu sana mbele yako na nitangulize tu pole zangu Kwako Professor.
Unaunga mkono kwakua alitoa maneno yasiyo na staha?kabisaa yaani
Huu ni mtazamo wangu...na wewe toa wa kwako..kama unampinga muelezeeUnaunga mkono kwakua alitoa maneno yasiyo na staha?
Kwani idadi halisi ni ipi Mkuu Gentamycine?
Hawako makini kabisa
Yeah Anko wa nguvuNaona umekuja mapema kabisa kwenye uzi wa jamaa yako..
jumlisha namba(tarakinmu) za mwisho gawanya kwa 3 hiyo namba jumulisha 90 utapata 'average 'Gazeti la Majira.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 93,000
Gazeti la Habari Leo.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 96,000
Gazeti la MWANANCHI.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 98,000
Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari wa Tanzania mkiwa mnadharauliwa msiwe mnachukia kwani kiukweli huwa mnajitakia wenyewe na nadhani sasa ile Sheria ya Vyombo vya Habari inabidi ianze kufanya Kazi haraka.
Tumewachoka.