Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,494
- 7,206
pamoja sana mkuu nitajitahidi zaidi 7bu hapo mwanzo kabisa ilikuwa shida lakini kadiri muda unavyokwenda kidogo afadhari si unajua wengne uandishi sio fani yetuMkuu Mzimu wa Kolelo angalau uwe unajaribu kutofautisha herufi
"L" na "R" najua zinakutatiza lakini jaribu, mwishowe utazoea.
ni kweli L na R wengi zinatutatiza
pamoja sana mkuu
Usisite kurekebisha unapoona makosa kwenye uandishi au maelezo au post
najisikia faraja kusahihishwa bila kejeri pale ninapokosea