Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,493
- 7,206
Naomba kujua ujauzito wake unachukua muda gani hadi ajifungue....kama wanazaa...
mimba ya jinni hukaa kwa muda mchache sana na anaweza kwa siku moja kuzaa hata mara 3 au 2 na mzao mmoja huweza kutotoa watoto watatu mpka wanne na hivyo unaweza kuta jinni mmoja ana watoto 300 mpk 500(lakini hutofautiana na makabila makabila mengine huwa na watoto wachache sana)