Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,645
Wakuu, kumekuwa na tabia ya jamii kutumia sentensi "kwa majina naitwa" au "majina yangu ni" kila kunapofanyika utambulisho. Naomba kujuzwa kama hii ni sahihi ama la. Tena hata kwenye vyombo vya habari hili limekuwa jambo la kawaida kabisa ingawa binafsi sikuwahi kufjndishwa hivyo.
Mimi nina jina moja na jinhine la baba yangu na kama nitakwenda mbele zaidi kuna jina la babu. Ni kama anwani ya makazi. Naomba ufahamu wenu wakuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mimi nina jina moja na jinhine la baba yangu na kama nitakwenda mbele zaidi kuna jina la babu. Ni kama anwani ya makazi. Naomba ufahamu wenu wakuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk