MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
BAKITA, hivi kwanini mmelala hivyo. Kiswahili kinachafuliwa sana. Kiswahili fasaha ni Jina lako nani?. Sio Majina yako nani?.
Ukiulizwa jina lako nani, hapo utayataja yote hatakama yanafika kumi. Unamkuta kiongozi mkubwa tu wa Serekalini anasema, kwa majina naitwa Tumaini Kazinyingi, kwa Mfano. Wakati hicho sio kiswahili fasaha. Angesema tu Jina langu naitwa Tumaini Kazinyingi.
BAKITA mnafanya kazi gani?
Ukiulizwa jina lako nani, hapo utayataja yote hatakama yanafika kumi. Unamkuta kiongozi mkubwa tu wa Serekalini anasema, kwa majina naitwa Tumaini Kazinyingi, kwa Mfano. Wakati hicho sio kiswahili fasaha. Angesema tu Jina langu naitwa Tumaini Kazinyingi.
BAKITA mnafanya kazi gani?