wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
ni sawa na mtu mweusi kuitwa waitii! Lol
Filipooo, umetisha! ww je?
ni sawa na mtu mweusi kuitwa waitii! Lol
huyo The Boss ana mawazo tu ya busara lakini hata 35 hajatimiza, lol!kuna mtu anaitwa The Boss au boss,ana picha ya Denzel,nahisi ni mtu kwenye early 40's,mstaarabu,judges wisely,,,namkubali sana huyu mtu ,huyu kingkongIII atakuwa mtu addicted na computer na mziki kila saa earphone masikioni alafu ni mzururaji mkubwa sana charminglady Lady B sweetlady ni wake za watu na waume zao wako humuhumu,,,wana uwezo wa kuzungumza zaidi lakini wanaogopa.......thats my real judgement ya hawa watu..... Boflo atakuwa ni paparazi Mbuzimzee ni babu flani hivi alikuwa mhuni sana enzi za ujana wake Mtambuzi ni mtu mkali sana kwenye familia yake....no offence
Katavi.......mlinzi.
Hahahahaha! We snochet hebu ntake radhi mie lol, mwenzio niko kwenye mitihani ya kumaliza kidato cha nne! Huyo mume nmtoe wapi? Nna mchumba anaitwa Filipo.kuna mtu anaitwa The Boss au boss,ana picha ya Denzel,nahisi ni mtu kwenye early 40's,mstaarabu,judges wisely,,,namkubali sana huyu mtu ,huyu kingkongIII atakuwa mtu addicted na computer na mziki kila saa earphone masikioni alafu ni mzururaji mkubwa sana charminglady Lady B sweetlady ni wake za watu na waume zao wako humuhumu,,,wana uwezo wa kuzungumza zaidi lakini wanaogopa.......thats my real judgement ya hawa watu..... Boflo atakuwa ni paparazi Mbuzimzee ni babu flani hivi alikuwa mhuni sana enzi za ujana wake Mtambuzi ni mtu mkali sana kwenye familia yake....no offence
Masaburi bar si nishakwambia sitaenda tena ? Ntakuwa home tu mwaya!mimi mzima! Wk end utakuwa mtaa wa jaluo au "masaburi" bar tena!?
Hehehe! Unajitahidi kweli kunivunja moyo ila mie ndio kwanza najisikia kukupenda zaidi lol.ni member sio humu jf tu! Na home pia! Lol
Karibu tena jamvini..duuuuuuuuuuu swtlady Upo mama?ebwana sala dah!kitambo sana ehee tehe tehe tehe tehe Mx