chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 211
habari wana jamvi
leo nimeona niondoe ukimya na kiguumizi cha hawa wanaodai wanamajina ya watu wanaotuhumiwa kuweka yale manoti yetu kuleeeee, halafu hawataki kuyataja.
nimeona niwasaidie kuyataja, haya sasa naaanza..................
1. madam flani (somebody)
haya wewe endelea hapo,ole wako kama hauna ushahidi magwepande inakuitaaa.lol
leo nimeona niondoe ukimya na kiguumizi cha hawa wanaodai wanamajina ya watu wanaotuhumiwa kuweka yale manoti yetu kuleeeee, halafu hawataki kuyataja.
nimeona niwasaidie kuyataja, haya sasa naaanza..................
1. madam flani (somebody)
haya wewe endelea hapo,ole wako kama hauna ushahidi magwepande inakuitaaa.lol