Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Butiku atakosekana hapo kweli?
Butiku ni malaika ukimlinganisha na hao majambazi.............wa kisiasa na kiuchumi..........
Butiku atakosekana hapo kweli?
Butiku ni malaika ukimlinganisha na hao majambazi.............wa kisiasa na kiuchumi..........
Get lost. This is the blood and soul of CCM.
remove them and you are sure the life of CCM is over!!!
CCM's HEART BEAT is Rostam Aziz
CCM breath through Edward Lowasa
All the others are just the systems of life in CCM.
Kuna swali linanisumbua sitaki kuamini kwamba mafisadi wako CCM tu!!!!!!!!! nje ya CCM mbona hawatajwi? Kama mafisadi wenye helikopta kama Philemon Ndesambalo, Freeman Mbowe, Edwin Mtei wote hawa na wengine utajiri wao ni wa kuhojiwa kama ni halali au si halali. Kuwa mfanyabiashara mkubwa na kumiliki utajiri/mali halali ni mambo mawili tofauti kabisa kabisa.
1. PHILEMON NDESAMBULO
2. FREEMAN MBOWE
3. EDWIN MTEI
4. JOHN CHEYO.
.Mkuu Warioba ameingiaje kwenye ufisadi? Mimi huwa naamini kwamba Warioba ni msafi.
Butiku ni malaika ukimlinganisha na hao majambazi.............wa kisiasa na kiuchumi..........