SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,062
- 7,790
Niliambiwa majina ya waliokubaliwa kujiunga masomo kwa mwaka 2019-2020 yatatoka kwenye tarehe hizi. Kuna mwenye taarifa yoyote?
UPDATE - SEPTEMBER 07, 2019
Mbona nikiingia kwenye account yangu sioni ujumbe wowote? Raundi ya kwanza ilipotoka kulikuwa na ujumbe kuwa nimekosa kwa kuwa masomo niliyochagua kusoma ni tofauti na yale niliyokuwa naomba.
Baada ya hapo nikabadilisha na kuongeza kozi ila sasa matokeo ya raundi ya pili bila bila sioni ujumbe wowote.
UPDATE - SEPTEMBER 07, 2019
Mbona nikiingia kwenye account yangu sioni ujumbe wowote? Raundi ya kwanza ilipotoka kulikuwa na ujumbe kuwa nimekosa kwa kuwa masomo niliyochagua kusoma ni tofauti na yale niliyokuwa naomba.
Baada ya hapo nikabadilisha na kuongeza kozi ila sasa matokeo ya raundi ya pili bila bila sioni ujumbe wowote.