Raby Kilua
Senior Member
- Jul 12, 2013
- 128
- 23
Wakuu nichekieni YAHAYA RAHABI kama lipo niko kijiji nisaidieni
halipo hilo, ila cheki mwenyewe kwa uhakika zaidi
Mkuu nichekie Yahaya Rahabi
Wakuu nichekieni YAHAYA RAHABI kama lipo niko kijiji nisaidieni
Naomba na mi mnichekie mi jina ni
MOHAMMAD F OMAR
S0310.0077.2010
hio index number yako ukiisearch kwa google2 utajua kama upo au haupo..!!!
mi nimeyahesabu toka 1st round,kama huamini hakiki
Mkuu nichekie Yahaya Rahabi
Hapa nilipo net majanga....naombeni mnicheki hii SAAD SHAIB NAMTUBWI..ubini ndo huo NAMTUBWI.....
halimo
S1275.0162.2010 YHAYA RAHABI umo na tatizo lako ni NO APPLICANT SIGNATURE.
ndo hayo hayo ila round ya kwanza ilitoka mapema sana jama asbh, ya herufi "A"
round ya pili ya herufi zilizobaki imeatoka jioni kabisa mdau.
Shukrani kwako mkuu