Vyuo vya private vinaendelea kutangaza waliowachagua.... Ila hao NACTE ni kweli walisema tarehe 22 ila hadi leo bado hawajatangazaEti wameshatangaza waliochaguliwa vyuo vya afya au bado maana walisema wanatangaza 22/8 nao mpka sasa hivi sijasikia kitu.
Naombeni msaada hapo
Duh!au ndo wanachelewa kutoa nn.maana siku zinaenda tuuVyuo vya private vinaendelea kutangaza waliowachagua.... Ila hao NACTE ni kweli walisema tarehe 22 ila hadi leo bado hawajatangaza
Subira huvuta heriDuh!au ndo wanachelewa kutoa nn.maana siku zinaenda tuu
Subira huvuta heri
Mmh.Subira huvuta heri