Kwahyo hapo kwa sua ntakuwa nmechaguliwa au nmekosa? Maana account ya sua ndio imeandika hvyo....na hzo code nazipata vpUkiona ivyo ujue wameshakuchagua tena zaid ya chuo kimoja...kaangalie chuo kingine ulichoomba pia
Kwahyo hapo kwa sua ntakuwa nmechaguliwa au nmekosa? Maana account ya sua ndio imeandika hvyo....na hzo code nazipata vp
UDSM vp wakuu
Umechaguliwa mz washa
Ngoja Tuone Naskia udsm Hadi 24/08